Mercy Clara
Member
- Mar 11, 2010
- 16
- 0
Habari wana JF!
Jamani wananikera wale watu ambao wakiona ndugu yao amefariki ndio wanajitia kiherehere cha haraka kuanza kuanza kufuatilia mali za ndugu yao huku wakijua ameacha familia yaani mke na watoto au mtoto. Na kipindi chote cha uhai wake hawakusaidia kutafuta ila sababu amekufa ndio wanataka wajipatie utajiri kwa kifo cha mwenzao. Hii tabia ikomeshwe mara moja.
Jamani wananikera wale watu ambao wakiona ndugu yao amefariki ndio wanajitia kiherehere cha haraka kuanza kuanza kufuatilia mali za ndugu yao huku wakijua ameacha familia yaani mke na watoto au mtoto. Na kipindi chote cha uhai wake hawakusaidia kutafuta ila sababu amekufa ndio wanataka wajipatie utajiri kwa kifo cha mwenzao. Hii tabia ikomeshwe mara moja.