P pilau JF-Expert Member Aug 16, 2012 1,593 443 Oct 7, 2012 #1 Inaingia .... Inatoka........ Inaingia Inatoka, Huku miguu, Ikichezacheza mikono nayo ikipapasa papasa,.... akimaliza...... kiuno hoi Du! Fundi Cherehani bwana ... anakazi kweli!
Inaingia .... Inatoka........ Inaingia Inatoka, Huku miguu, Ikichezacheza mikono nayo ikipapasa papasa,.... akimaliza...... kiuno hoi Du! Fundi Cherehani bwana ... anakazi kweli!
Penelope JF-Expert Member Aug 23, 2012 713 641 Oct 7, 2012 #5 pilau said: Inaingia .... Inatoka........ Inaingia Inatoka, Huku miguu, Ikichezacheza mikono nayo ikipapasa papasa,.... akimaliza...... kiuno hoi Du! Fundi Cherehani bwana ... anakazi kweli! Click to expand... ha ha ha ha haya we
pilau said: Inaingia .... Inatoka........ Inaingia Inatoka, Huku miguu, Ikichezacheza mikono nayo ikipapasa papasa,.... akimaliza...... kiuno hoi Du! Fundi Cherehani bwana ... anakazi kweli! Click to expand... ha ha ha ha haya we
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Oct 7, 2012 #6 Enyi kizazi cha nyoka na ukahaba,tazama hukumu ya mwisho yaja!
O OBOTE Member Sep 11, 2012 14 0 Oct 10, 2012 #7 kizazi cha nyoka kimetoka wapi tena? ww ndiye unamawazo ya ukahaba cz mada ni fundi cherehani ww mbona unaforce mengine?
kizazi cha nyoka kimetoka wapi tena? ww ndiye unamawazo ya ukahaba cz mada ni fundi cherehani ww mbona unaforce mengine?
Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,143 3,830 Oct 10, 2012 #8 Hii ni zaidi ya fundi cherehani mazee
P pilau JF-Expert Member Aug 16, 2012 1,593 443 Oct 15, 2012 Thread starter #9 john hotsam da1 said: balaa tupu Click to expand... weeeeeeeeee acha tu
snochet JF-Expert Member Mar 31, 2011 1,407 1,110 Oct 15, 2012 #10 ebwana noumeeerrr,,,,,niishaanza kuwaza kwanini hawajaitoa thread yako,maana hawachelewi..sijui hata wanalalaga saa ngapi
ebwana noumeeerrr,,,,,niishaanza kuwaza kwanini hawajaitoa thread yako,maana hawachelewi..sijui hata wanalalaga saa ngapi
R rajney New Member Oct 14, 2012 1 0 Oct 15, 2012 #11 duh si mchezo! :lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol: