mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
kwa kuchunguza kwa makin,i kuna ishara kuwa CCM imepungua umaarufu kwa kasi.
Zamani CCM ilikuwa maarufu sana kiasi kwamba mtu yeyote akiteuliwa kugombea nafasi ya uongozi kupitia CCM alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda.
Kwa sasa mtu ndani ya CCM ndiye aweza kuwa maarufu pekee sio chama tena.
ushauri kw CCM ni kuwa katika chaguzi zijazo itabidi kitafute watu maarufu wanaokubalika na wapiga kura la sivyo kitabwagwa tu.
Pia chama kiwe makini tangu sasa kujua ni nani anatazamiwa kugombea urais ili aanze taratibu kujenga imani kwa wananch. Bila hivo CCM wajiandae kuondoka madarakani maana bila mtu makini na mwaminifu ndani ya CCM hakuna nafasi tena ya kutawala.
Zamani CCM ilikuwa maarufu sana kiasi kwamba mtu yeyote akiteuliwa kugombea nafasi ya uongozi kupitia CCM alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda.
Kwa sasa mtu ndani ya CCM ndiye aweza kuwa maarufu pekee sio chama tena.
ushauri kw CCM ni kuwa katika chaguzi zijazo itabidi kitafute watu maarufu wanaokubalika na wapiga kura la sivyo kitabwagwa tu.
Pia chama kiwe makini tangu sasa kujua ni nani anatazamiwa kugombea urais ili aanze taratibu kujenga imani kwa wananch. Bila hivo CCM wajiandae kuondoka madarakani maana bila mtu makini na mwaminifu ndani ya CCM hakuna nafasi tena ya kutawala.