Safina
JF-Expert Member
- Jun 18, 2009
- 497
- 64
huyo atakuwa anakuchakachulia mkeo
Naunga mkono hoja. Kwa hiyo anamchora jamaa kwa kumuuliza uliza, hili jamaa aseme wife hawezi kutoka nje ya ndoa kabisa, wakati yeye alikuwa nae kimahaba huyo anayesifiwa labda muda mfupi kabla ya kukutana hapo bar, yaani haya maisha haya sijui 2.