Ina maana hii kozi imejaa??

mie nilijaza civil engineering udsm ikaniambia not eligible ila nikabonyeza CHECK ELIGIBILITY STATUS maandishi mekundu juu hapo kwenye web ya tcu ikakubali kuandika eligible na masela wengine wamefanya hivyo jaribuni na nyie wadau
 
3.17, inawezekana mkuu! Mfano
E=5
E=5
F=7
S ya Gs=0.5

Div.3 point 17 ambapo tayari ana principle 2.
 
3.17, inawezekana mkuu! Mfano
E=5
E=5
F=7
S ya Gs=0.5

Div.3 point 17 ambapo tayari ana principle 2.

Inatakiwa angalau awe na cut off points 2.5 sasa EEF hapo ana 2.0(GS haihesabiwi) so haiwezekani!!
 
kumbe heslb waliongeza muda kwasababu wamebaini mapungufu?? Sasa walio kosea kijaza hizo form wanasaidiwaje???

ndo maana huwa namkubali kijana senator kwa true information.!! Xo mpango mzima mi nishalamba chuo but hofu yangu ni ishu ya mkopo yaani sipati usingizi kabisa
 
ndo maana huwa namkubali kijana senator kwa true information.!! Xo mpango mzima mi nishalamba chuo but hofu yangu ni ishu ya mkopo yaani sipati usingizi kabisa

Sasa kijana tusubili publication tu! I hope mungu katulengeshea palepale
 
Xio lazima cut off points iwe 2.5 inategemea na chuo na fuculty unayochukua! Kinachotakiwa ni angalau uwe na two principles!
 
Sasa vipi sie eligible hiko kote bado? Nasikia wengi kozi ya kwanza mmebadilishiwa kuwa not eligible
 
umeona eeh ! Yaan ni ful kuwaza

The system shall process the applicants with two or more principle passes. Tabu ni kwamba vyuo vichache vina admit kwa 2 principle passes na ni kwa program za science tu. Si kweli kwamba cas haikubali kudahili wenye principle mbili wenye div 3.17, ikikataa umewrong required data.
 
Vijana wangu,kwa taarifa nilizoziepua hvi punde kutoka jikon ni kwamba,mchakato wa selection umekamilika kabisa.ila ngoma imekuja kugomea pale heslb,kuna taarifa za kuaminika kwamba vijana wengi mwaka huu hawajaapply mkopo{sijui kama ni kweli au ndo janja ya kuwanyima mikopo}kwa hiyo wameipa helsb wakati mgumu sana kwani wameshndwa kuelewa tatizo ni nin na ndio maana kama mnafuatilia kuna tangazo limetolewa na helsb likiwataka watu wote ambao hawajapply mkopo wafanye hvo ndani ya wiki 2,bodi ya mikopo wameamua kufanya hvo ili kuepusha zile kelele za madent kwamba wameaply ila hawajapata{ingawa kuna watu kibao tu watakosa}.sasa kinachofanyika sasa ni kusubiri hzo week mbili ziishe then helsb ipitie hayo majina mengne ya watakao kua wameaply na kuyarudisha tena tcu ili tcu waweze kuyapublish.na vile vile kuhusu selection,kuna baadhi ya vyuo hasa hvi vinavofundisha masomo ambayo ni non priorities vimekosa wanafunzi wa kutosha,programs za education,medicine,engineering na agriculture zimefurika watu na hvo kufanya competition hasa kwenye vyuo vyetu vya umma kuwa kubwa sana ingawa kwa matokeo ya mwaka huu wamechukua mpaka div 3.17.chuo kilichoongoza kuchukua wanafunzi wengi ni udsm ambacho kimechukua zaidi ya wanafunz 4500,kikifutiwa na udom,sua na saut.over

Mmh hi ni noumer bro.
 
Back
Top Bottom