Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
mhh......El Toro wewe ndiye yule kaka mrefu na
T shirt ya JF unapiga picha?
hujaniona na mie......
shukrani sana mkuu eltoro
mhh......El Toro wewe ndiye yule kaka mrefu na
T shirt ya JF unapiga picha?
Hizi Picha quality yake mbovu sana! Tunaomba mwenye picha nzuri aziweke na areplace hizi zilizopo!!
Lema mbona Hajaonekana? Sugu naye vp? Tundu Lisu naye? mnyika????
Hili suala naona ameguswa nalo Zitto peke yake!
Kumbe huyo anayechezea simu ndio Invisible na Max ndio yupi hapo?Invisible umekaa hapo mbele na unachezea simu kuangalia update za JF wakati PAW amekaa kiheshima.[/SIZE]
RIP Dada yetu Regia Mtema, tutakumis mno na umetuachia majonzi ndani ya mioyo yetu na hatuto kusahau kamwe kwa mchango wako kwenye Taifa letu.
Kumbe huyo anayechezea simu ndio Invisible na Max ndio yupi hapo?
Bwn ElToro ahsante kwa picha nzuri saana ulizoleta tena umepiga na Kilongalonga vizuri saana!!!!! Huyo Rejao aende alete mpiga picha wake amsaidie bomu kweli kweli!!!!!!Wakuu mie nilisema je nitamuenzi vipi dada yetu mpendwa humu alietutoka kwa masikitiko makubwa? 1. Kuhudhuria kwenye kutoa heshima za mwisho 2. Kutumia kipaji changu cha matukio-picha kuchukua baadhi ya picha kwa manufaa ya ambao hawakupata fursa ya kuaga.
Kwa kweli najisikia faraja sana nimefanikiwa kwa hayo malengo mawili na angalau nimemuaga dada yetu mpendwa hivyo angalau simanzi na majonzi makubwa niliyonayo yamepungua kwa kiasi fulani.
PICHA nimepiga kwa kilonga longa changu cha mchina ambacho kimejitahidi kwa kweli kuwapa japo kwa muhtasari kilichotokea pale KARIMJEE....
Hizi picha bomba saana ndugu yangu mtu asikukatishe tamaa El Toro, je hujaenda Ifakara maana tungefaidi pia!!!!!! Member wa JF atakaye kuwa Ifakara bila shaka atatuletea yaliyojili huko!!! Poleni saana wapendwa JF MUNGU ana mipango mingi, matokeo ya jambo hili yapo yanakuja!!!!!!!!!!Ama kwa hakika dada yetu mpendwa ulipendwa na wengi kama sio wote UPUMZIKE KWA AMANI, Tilikupenda sana japo MUNGU amekupenda zaidi. AMEN
Watu mbali mbali wa rika zote, wanasiasa, wasanii, viongozi wa serikali na wananchi kwa ujumla walifika kwa majonzi makubwa kumuaga dada yetu hizi ni picha nilizofanikiwa kuzipiga katika tukio hili la kusikitisha tangu mwaka huu wa 2012 uanze;
Sikupata fursa ya kwenda huko wenzetu wengine walituwakilisha mkuu, Thanks.Hizi picha bomba saana ndugu yangu mtu asikukatishe tamaa El Toro, je hujaenda Ifakara maana tungefaidi pia!!!!!! Member wa JF atakaye kuwa Ifakara bila shaka atatuletea yaliyojili huko!!! Poleni saana wapendwa JF MUNGU ana mipango mingi, matokeo ya jambo hili yapo yanakuja!!!!!!!!!!