Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Hizi Picha quality yake mbovu sana! Tunaomba mwenye picha nzuri aziweke na areplace hizi zilizopo!!
Wewe kwanini hukwenda kupiga?hoto:
Hizi Picha quality yake mbovu sana! Tunaomba mwenye picha nzuri aziweke na areplace hizi zilizopo!!
Hizi Picha quality yake mbovu sana! Tunaomba mwenye picha nzuri aziweke na areplace hizi zilizopo!!
mweee!!!!!!!!!!Hizi Picha quality yake mbovu sana! Tunaomba mwenye picha nzuri aziweke na areplace hizi zilizopo!!
Wewe kwanini hukwenda kupiga?hoto:
Nipo ughaibuni na marafiki zangu na wamekuwa interested kufahamu kinachoendelea nchini kwangu. Baada ya kuwapa taarifa za msiba tulio nao na kuziona hizi pics, kila mtu amebaki akishanga!! Hizi pics hazina hadhi ya JF, ni za low quality sana! kwanini hata tusingemuambia Michuzi atusaidie kwa hili?Rejao................. hebu tuwekee ulizopiga wewe ndugu yangu.!!!
Nipo ughaibuni na marafiki zangu na wamekuwa interested kufahamu kinachoendelea nchini kwangu. Baada ya kuwapa taarifa za msiba tulio nao na kuziona hizi pics, kila mtu amebaki akishanga!! Hizi pics hazina hadhi ya JF, ni za low quality sana! kwanini hata tusingemuambia Michuzi atusaidie kwa hili?
Asante sana mkuu kwa Link. Hizi ndizo zilikuwa zinastahili kuwa kwenye hii thread!!!Michuzi anafanya shughuli za CCM tu.......leo hata hivyo kajitahidi....haya wape hao ''rafiki'' zako
matukio-michuzi: MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU REGIA MTEMA KARIMJEE DSM LEO, KUZIKWA KESHO IFAKARA
kwenye picha ya nne hapo!...huyo mwanamke kaja msibani au kwenye ukahaba! mm wananiudhi hawa! pambaff kabisa!Ama kwa hakika dada yetu mpendwa ulipendwa na wengi kama sio wote UPUMZIKE KWA AMANI, Tilikupenda sana japo MUNGU amekupenda zaidi. AMEN
Watu mbali mbali wa rika zote, wanasiasa, wasanii, viongozi wa serikali na wananchi kwa ujumla walifika kwa majonzi makubwa kumuaga dada yetu hizi ni picha nilizofanikiwa kuzipiga katika tukio hili la kusikitisha tangu mwaka huu wa 2012 uanze;
Hahahahaaaa!!!! wamekwisha anza!!!!El Toro wewe ndiye yule kaka mrefu na
T shirt ya JF unapiga picha?
Ukipasua nazi, you are bound to get something in there.......kama ni koroma, there will always be a vacuum....... isn't that something?Nipo ughaibuni na marafiki zangu na wamekuwa interested kufahamu kinachoendelea nchini kwangu. Baada ya kuwapa taarifa za msiba tulio nao na kuziona hizi pics, kila mtu amebaki akishanga!! Hizi pics hazina hadhi ya JF, ni za low quality sana! kwanini hata tusingemuambia Michuzi atusaidie kwa hili?
Nipo ughaibuni na marafiki zangu na wamekuwa interested kufahamu kinachoendelea nchini kwangu. Baada ya kuwapa taarifa za msiba tulio nao na kuziona hizi pics, kila mtu amebaki akishanga!! Hizi pics hazina hadhi ya JF, ni za low quality sana! kwanini hata tusingemuambia Michuzi atusaidie kwa hili?
Ahsante kwa picha El. . .
Sema wanaJF wanaonekana wachache kweli. . .
Asante sana mkuu kwa Link. Hizi ndizo zilikuwa zinastahili kuwa kwenye hii thread!!!
Ningekuwepo karibu ningehudhuria na tshirt yangu na bado nikaondoka bila mtu yeyote kujua mimi ni nani hapa JF au URAIANI. Sema tu hawakua tayari kuwakilisha kwa tshirt.Hao ni wale wenye tru IDs.......mimi na wewe hatuwezijionyesha hadharani....lakini tulikuwepo wengi tu