Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
wewe mtoto bwana haiwezekani kuwa na upendo sawa kwa watu wawili kwa wakati mmoja, sema unampenda mmoja mwingine unamuonea huruma, sasa hiyo huruma ndio itakayokuponza, ushauri wangu sikiliza moyo wako tu hakuna kingine ukijisikia kuwatest wote its up to you