In love, it’s about teamwork

.....aisee... Naomba ni print nikampelekee mamsap bana. I hope kwa somo hili atafunguka zaidi bdala ya kumtaja 'yethu' mwanzo mwisho :p


Mkuu Mbu mpelekee tu shemeji ili afungue macho :);)...ila akianza kuomba mikao fulani fulani usianze kumdodosa tena kwa maswali mengi hata akaogopa kujiachia kwa raha zake.
 
Last edited by a moderator:
Mmh kumbe kwenye ndoa ndo kulivyo!bora huku nje ya ndoa hakuna kubakana mtu anatanguliza barua ya maombi kwanza lol!


Si ndio maana wengine huamua kubaki kwenye uBF na uGF maana raha tupu kunakuwa na kufanya mapenzi siyo kubakana na outtings bab kubwa at least mara mbili kwa week kama siyo zaidi tena sehemu kali kali na njembas huwa wapole sana kama wamemwagiwa maji, ngoja mfunge pingu za maisha....unaanza kujiuliza huyu jamaa mbona kabadilika hivi ni aje? lakini hata baadhi ya akina dada nao hubadilika na kuanza kubweteka mara tu wanapokuwa ndani ya ndoa.
 
Mkuu Mbu mpelekee tu shemeji ili afungue macho :);)...ila akianza kuomba mikao fulani fulani usianze kumdodosa tena kwa maswali mengi hata akaogopa kujiachia kwa raha zake.

.....hahaha, kaka...nikimfanyia hivyo nitakuwa na hila bana....hii tuition na homework zake shurti vigezo na masharti vizingatiwe....ikiwemo nami kujibu maswali ya hapo kwa papo nimejifunzia wapi 'mauchafu' haya....
 
Last edited by a moderator:
.....hahaha, kaka...nikimfanyia hivyo nitakuwa na hila bana....hii tuition na homework zake shurti vigezo na masharti vizingatiwe....ikiwemo nami kujibu maswali ya hapo kwa papo nimejifunzia wapi 'mauchafu' haya....

Hahahahahah lol! Sio machafu bana :):)
 
BAK aksante sana kwa thread nzuri. Ni kweli huyu bwana Mahimbo amefunguka haswa. Ni hali inayowakumba wanawake wengi hasa waliomo ndoani. Nimemsoma King'asti jinsi alivyoielezea hali hii kinaga ubaga, King'asti aksante sana kwa kuwasemea wanawake wengi walioko ndani ya mahusiano ya aina hii. Nina swali dogo tu, tukiachia wale wa zama zile (ambao waliolewa na waume ambao hawakuwahi kuwa na mahusiano nao kabla ya kuhalalisha) je sie ambao tunafahamiana na wenzi wetu kabla ya kuoana, hali huwaje kabla ya ndoa? Kama tunakuwa the same (yaani hatusemi pale tusiporidhishwa) iweje tukiingia kwenye ndoa tunaona ni tatizo? na je kama tulikuwa tunasema, ni nini kilitupata hata tukajikuta sasa tunashindwa kusema na kuishia kukimbilia bafuni mara baada ya kitendo??
 

Shemeji BAK, nimekisoma hiki kipande.......
"But many women accuse men of being selfish in the bedroom. They say that some men use women as motionless sex objects, which can be switched on and off at will. "A man walks into a room, five minutes later, he wants it. No discussions about it because he is your husband," says Imelda a 28-year-old woman from Dar es Salaam."

Nimejikuta najiuliza nafasi za perceptions na vichen party vyetu katika hili! Maana wengi wetu perceptions za ndoa ni kuhakikisha unamfurahisha mumeo!! So hii huenda inainclude not to criticise him, au kumkosoa kwa uwoga wa kumkera na kumwuudhi lakini pia ile ya KUBALI na FANYA kila atakalohitaji pasipo kulalalmika kwa kuwa ni MUMEO.

Unajua tunasema nidhamu za jeshi but ukiangalia sana hata baadhi ya mafundisho ya ndoa yanatupelekea tuwe na nidhamu za jeshi, mara nyingi tumekuwa tukiambiwa kuwa mwanaume akikasirika usimkosoe, subiri hasira zipoe! Hii kwa tafsiri yangu mie inajumuisha na hiyo, ....mwache ajifaidie yeye kwanza kisha ndo umwambie kuwa wewe hukufaidi.........sasa ndo ukutane na mbabe anaishia kukwambia ..ah kesho mie saa hizi nimeshachoka kwanza kesho nina kikao na Boss (Kesho ya wapi tena ilhali mie nataka sasa? na huyo Boss wako mie ananihusu nini katika haki yangu hii??)
 
  • Thanks
Reactions: BAK
....mwanajamiiOne una ma-eksipriensi wewe :eek: kha? ....natamani kukujua aisee, naweza kuku PM nifahamiane nawe?
 
....mwanajamiiOne una ma-eksipriensi wewe :eek: kha? ....natamani kukujua aisee, naweza kuku PM nifahamiane nawe?

Una visa wewe, asa unijue mara ngapi ewe Soulmate?? hebu huko bwana............... Hivi mie nikazana kufikiria.....ntambana hivi, na kumbanua vile afu ufurahi mie nibaki na kiu?? aisee hapana, samahani nitakufurahisha nikitegemea kuwa nawe utaniridhisha, bila hivyo hapatalalika wala kupumzikika.

My man is the only one to satisify me, sasa nkimwonea aibu ntasaidiwa na nani? Si ndo ntaishia kusikia kilele cha kibo kwenye mabango ya Tanzania Board of Tourism? aku aisee..................
 
By Mbu<br />
....mwanajamiiOne una ma-eksipriensi wewe :eek: kha? ....natamani kukujua aisee, naweza kuku PM nifahamiane nawe?
<br />
<br />
Una visa wewe, asa unijue mara ngapi ewe Soulmate?? hebu huko bwana............... Hivi mie nikazana kufikiria.....ntambana hivi, na kumbanua vile afu ufurahi mie nibaki na kiu?? aisee hapana, samahani nitakufurahisha nikitegemea kuwa nawe utaniridhisha, bila hivyo hapatalalika wala kupumzikika. <br />
<br />
My man is the only one to satisify me, sasa nkimwonea aibu ntasaidiwa na nani? Si ndo ntaishia kusikia kilele cha kibo kwenye mabango ya Tanzania Board of Tourism? aku aisee..................

.....hahahaha....mwanajamiiOne waikumbuka ile thread yako ya juzi 'kumfumania hawara' kitanda cha ndoa? ....e bana almanusra nichomwe moto kama kibaka....kisa u soulmate!

Acha nijitie sikujui, kuna watu wanauchungu nawewe humu....lol :D
 
.....hahahaha....mwanajamiiOne waikumbuka ile thread yako ya juzi 'kumfumania hawara' kitanda cha ndoa? ....e bana almanusra nichomwe moto kama kibaka....kisa u soulmate!

Acha nijitie sikujui, kuna watu wanauchungu nawewe humu....lol :D

Hahaahhahhh loh kumbe nlikuingiza kwenye kesi isokuhusu Soulmate?? Hahhah polebana kama vipi tuunge tu juu kwa juu!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sad enough MwanajamiiOne, when pple ar dating 'they talk with each other' coz muda wanaopata wa kuwa pamoja ni mchache na wa thamani! Hata kama ni issue ni ya kugombana kwa simu utasikia 'baby, let's not waste time fighting, let's just love each other'

Sasa mwali wewe, once pple get married 'they talk at each other'. Sijui unaelewa tafauti? Nna hakika kama kakake AshaDii angekuwa ndo small house yangu, ingalikuwa tofauti. Hata huo mjadala wa kutoridhika na soul food unakuwa na negative perception kiasi kwamba mwingine anabakia kulinda heshima tu (huku akiiangamiza) na huku mwenzie akitoa upepo tu kifua kisipasuke!
 
Last edited by a moderator:
BAK aksante sana kwa thread nzuri. Ni kweli huyu bwana Mahimbo amefunguka haswa. Ni hali inayowakumba wanawake wengi hasa waliomo ndoani. Nimemsoma King'asti jinsi alivyoielezea hali hii kinaga ubaga, King'asti aksante sana kwa kuwasemea wanawake wengi walioko ndani ya mahusiano ya aina hii. Nina swali dogo tu, tukiachia wale wa zama zile (ambao waliolewa na waume ambao hawakuwahi kuwa na mahusiano nao kabla ya kuhalalisha) je sie ambao tunafahamiana na wenzi wetu kabla ya kuoana, hali huwaje kabla ya ndoa? Kama tunakuwa the same (yaani hatusemi pale tusiporidhishwa) iweje tukiingia kwenye ndoa tunaona ni tatizo? na je kama tulikuwa tunasema, ni nini kilitupata hata tukajikuta sasa tunashindwa kusema na kuishia kukimbilia bafuni mara baada ya kitendo??


Mhhhh! Maswali yako magumu shemeji :)...lakini nadhani haya ni mambo ambayo yanabidi yawekwe wazi katika mafunzo ambayo wake watarajiwa wawe wanapewa miezi michache kabla ya kufunga ndoa -kuwa wa wazi kwa waume zao- sasa waoaji watarajiwa nao kuna haja ya kupewa darasa ili wajue wajibu wao kama wanaume waliomo ndani ya ndoa na mke anapomwambia mwenzi kwamba mie napenda hivi au vile basi mume asanze kurusha ngumi na kudhani anaibiwa.

Siku hizi ili kuonekana mwanaume sana inabidi ujulikane kama una nyumba ndogo, ukitoka kazini au kwenye biashara zako basi unaunganisha huko kwa huko kurudi nyumbani saa tano za usiku au zaidi kuja kuweka mbavu tu. Ukiwa ni yule wa kutoka kazini au kwenye biashara zako na kurudi nyumbani unaambiwa umelishwa limbwata au yule mkewe anamtawala sana!! Mambo haya ya nyumba ndogo hata Wazee wetu walikuwa wanayafanya lakini kwa kificho sana siyo kama ilivyo siku hizi matokeo yake ndoa zinaathirika sana na nyingi kuishia kuvunjika au kuwa zilizolegalega maana mke na mume wanaishi pamoja lakini kila mmoja yuko kivyake vyake tu ili kuizuga dunia kama wako pamoja kumbe ukweli ndoa ilishajifia siku nyingi sana.

Kwa kumalizia mimi sioni matatizo mke akamwambia mumewe mie napenda hivi au vile na mume naye akawa huru kujieleza kwa mwenzie (hapa sizungumzii mambo ya Tigo) ili kuboresha ndoa yao.

 
.....hahahaha....mwanajamiiOne waikumbuka ile thread yako ya juzi 'kumfumania hawara' kitanda cha ndoa? ....e bana almanusra nichomwe moto kama kibaka....kisa u soulmate!

Acha nijitie sikujui, kuna watu wanauchungu nawewe humu....lol :D


Mhhhhh! Mbu!!! this to me is a BREAKING NEWS...Duh!
 
.....lol, kaka humjui mwandani wangu....kama hatayaita mauchafu. Ataniuliza nimejifunza wapi 'matusi'....anyway, acha nikajilipue 'reo reo!'...

Mwambie si mauchafu banaa ila ni maraha :):)...mwambie matusi ulijifunza jandoni LOL! ila ulikuwa umeyasahau sasa umeyakumbuka :):)
 
....mwanajamiiOne una ma-eksipriensi wewe :eek: kha? ....natamani kukujua aisee, naweza kuku PM nifahamiane nawe?


...Nilivyoiona hii nikajiuliza ni aje Mmanyema anamkana Soulmate wake? umma wa JF wakitaka kumtafuta MJ1 wa kwanza kuulizwa ni Mbu na kama atatafutwa Mbu basi wa kwanza kuulizwa ni MJ1...sasa nimeelewa....ila ombi langu kwako usimkane soulmate wako banaa kama kuna wanao kwazika basi imekula kwao. Hata kinachowakwaza mie sikielewi kabisaaaaaa.
 
.......wamanyema ndio wala nyama yakhe....:D
Somo limetulia hili bro.
 
Back
Top Bottom