Angalia Majibu yako very arrogant; haujali Wananchi unajali Mwelekeo wako sidhani utapenda kuongea na wapinzani wako wewe ni kama Chombo cha kutumikia bendera inayopepea bila maafa; Angalia Mtoto wa Mwinyi Waziri wa Ulinzi a Doctor by Profession kwanini awe waziri wa ulinzi? Mnapeana Maeneo Nyeti kuziba wanaoweza kuendesha Maeneo hayo?
Haaa umenichekesha sana mkuu wangu yaani unatumia sayansi ya uzazi sio?...Atakuwa huyo hapo mbele upande wa kulia kama sijakosea.Ukiangalia sura yeye ndo kafanana na Mzee Malecela sema William's skin ni a bit lighter.
Again sina uhakika,ni base on the photo na pia kulinganisha na ile aliyoiweka kwenye avatar yake,basi uwezekano mkubwa ni huyo hapo juu far right.
Ohhh SIKUJUA KUMBE VIONGOZI WOTE TANZANIA WATOTO WA WAKUBWA???? mhh!hata Pinda kumbe? Na hao wakubwa walizaliwa na wakubwa pia!!! Duh kama ndo hali hii hatukubali basi
Wakubwa nawashukuru kwa maoni yenu mazuri na ya kutia moyo, lakini kubwa maoni mengi ni ya kufundisha na kuonyesha njia,ntajibu kwa kuanzia na hili kwanini nimesema wakati nachukua fomu za kugombea kiti uvccm.
Niliwaonya mara kwa mara hawakutaka kusikiliza kwa kulewa na tu madaraka, nilipochukua fomu haikuwa mara ya kwanza kwa hili kusemwa hadharani, lilisha wahi kuandikwa na KULIKONI GAZETI, tofauti tu hapa nilitoa wanaohusika na dhuluma hii kwa UVCCM,CCM NA NCHI YETU. NA IKUMBUKWE HAPA NDO NILIKUWA NIMERUDI TOKA INDIA MASOMONI KAMA WIKI MBILI TU, NIKAKUTA WAKUBWA WANAENDELEA NA MRADI NINAOAMINI NI WA HOVYO, NI UKWELI USIO NA MASHAKA BILA KELELE ZILE MKATABA USINGEPITIWA UPYA........sijui kama nimekidhi mahitaji yenu...
Kwanza nakushukuru kwa mawazo yako. Naomba niweke wazi msimamo wangu hapa pia kwamba...UZALENDO WANGU NA KWAKWELI WA VIJANA WA KITANZANIA LAZIMA UVUKE MIPAKA NA MINYORORO YA ITIKADI ZETU...Tanzania kwanza chama baadae... ..... Ukumbuke mvutano huu ni chachu ya kutoa zao bora"sera" kwa ukombozi "mpya" wa kiuchumi wa nchi yetu...Mao aliwahi kusema...ni muhimu kukawa na msuguano kati ya kizazi kipya na cha zamani ili kupata maendeleo..positive...
nDUGU YANGU oGWALUMAPESA NASIKITIKA KWA TAARIFA HII ULIYOITOA HAPA UKIDAI NIMESEMA HII NI KUSHUSHA HESHIMA YA FORUM HII, PENGINE SEMA ALIYEKUPA HAYA MAANA MKANDA WA NILIYOSEMA CLOUDS FM UPO NAWEZA WEKA HAPA IKAWA SI NZURI SANA KWAKO.
NAAMINI UMETELEZA JITAHIDI KUTOTELEZA TENA....
Naiheshimu sana forum hii kwani inasaidia kutoa mambo ambyo wakati mwingine hayasemwi na vyombo vingine.Nawashukuru kwa kunikaribisha, napokea kwa heshima kubwa karibu yenu wakubwa, naahidi ushirikiano mkubwa kwa kadri ya uwezo wangu wote....... Namwomba ndugu yangu asituharibie heshima ya forum hii, naamini nimeeleza kwa kifupi yaliyotokea.
Nnauye Jr
Iliwashika pabaya eeeeh? Poleni ndo maana humu kelele kila siku!!! Ndo mnakua jamani , ukubwa si lelemama, acheni kulialia, ooooh tumeibiwa! Mpaka mshinde nyie ndio hamkuibiwa wala kuba!!! Chafyaaaaaaaaaa
Mhhh SIKU MSIPOMTAJA NAPE HUMU HATA KWA UBAYA SIJUI ITAKUAJE.....HAYA KILA LAKHERI
HIVI MKISHAJIDANGANYA HUMU NA KUDANGANYA WATU MNAJISIKIAJE WANAUME WAZIMA KUDANGANYA WATU HAPA??? SOON NAWEKA PICHA ZA MWANZA NA LEO NITAENDELEA KUSAMBARATISHA VIJINGOME VYENU UCHWARA MWANZA NA KANDA YA ZIWA.... AIBU KUBWA.... SHUHUDIENI KIPIGO KINGINE LEO NYAMAGANA NDO MTAJUA SIASA INATAKA TIMING
Kamanda Mwanakijiji,
NIKUSHUKURU KWA DHATI KUPIGIA MSTARI SWALI LANGU, MAANA TUSIJE TUAKAJADILI KISHABIKI TU.. SALUTE YOU KAMANDA...
SI KAZI YANGU KUWAFURAHISHA CHANDIMU, WALA CHANDIMU HAWANA MAMLAKA YA KUNIFUNDISHA CHA KUFANYA, ETI LEO NIFANYE AMBACHO CHANDIMU MNATAKA NIFANYE??? ,imekla kwenuu.... Mwl. Aliwhi sema...... Ukiona adui yako anazifia slaa zote za maangamizi jua umekosea. FURAHA YANGU NI KUWAKERA CHANDIMU SO MKIKEREKA NIJUA NIKO VIZUIIIIIII
Au ni huyu?Mchakamchaka,
Nakushukuru sana kwa ushauri wako, lakini ungewashauri pia wanaojibu hapa tujadili hoja sasa kama wanageuza jukwaa the commedy, eneo la kutukana tu... Tulikimbie jukwaa? Hapana sie ndo waanzilishi humu hAtutoki ila tutajibu kwa uwezo na jinsi ya akili unaye mjibu,,!!!!
Na FURAHA YAKO ITATIMIA KWASABABU WE UNAISHI NCHI TOFAUTI NA NINAYOISHI MIE
Samahani,masahihisho,Hapo William ndo yupi?
.Njoo wewe mtoto mzuri, nimechagua jina la Hitler ili kudeal na wewe, sasa mbona unakimbia mnywa ugimbi wewe!
Rafiki,
KUNA WATU MWAKA 2005 MARA TU BAADA YA
MTANDAO KUSHINDA WALINITUMIA SALAAM KAMA ZAKO KUWA SINA CHANGU KWENYE SERIKALI WALA CHAMA KWA MIAKA KUMI NA IKILAZIMIKA NA ZAIDI AU NTAFUTIKA KABISA KATIKA SIASA, LEO WAJUA NI MIAKA MINGAPI BADALA YA KUPOTEA NDO KWANZA....... KWA HIYO KAMILIONI ALIIMBA "fitina yako bahati yangu, ukiniombea mabaya na kuyatabiri hugeuka baraka kwangu" UBARIKIWE SANA KWA KUTANGAZA BARAKA KWANGU.....
Maajabu,
UNAFIKI MWINGINE WA BAADHI YA
WATANZANIA NI WA AJABU SANA SANA..... WATU WANAVYOJADILI HAPA NI KAMA VILE WANATAMANI VITA DHIDI YA UFISADI ISHINDWE WAKIDHANI NDO KUSHINDWA KWA NAPE AU SIJUI NANI VILE KUMBE NI MATESO KWA NDUGU NA JAMAAA ZAKO MWENYEWE!!!
BAHATI NZURI HATUTASHINDWA LAZIMA TUTASHINDA. DUA LENU LA KUKU KUOMBEA TUSHINDWE HALITATUPATA, MNAPOTRZA MUDA.....KUSHINDA LAZIMA.....
Mhhhh,
BADO HAMPATI USINGIZI TU WAUNGWANA??????? ONCE KIONGOZI WA CHINA ALISEMA UKIONA ADUI YAKO ANAKWAMBIA USIPITE HUKO, HUKO NDO KWA KUPITA COZ NDIO NJIA SAHIHI
hahahahahahahahahaaahahahahahahahahhh!!!!!
<br />
<br />
Mhhhhhhhhhhhhh
HUMU JF SIKUHIZI HATA AKIPITA NZI WATU WANAANZA KUPIGA CHAFYA CHAAAAAAAA,!!!!! HIVI HII STORI ISIO NA SOURCE WALA MASHIKO NAPO WATU WANATUNA SHINGO ETI WANAJADILI HOJA???? masikini magwandaaaaa
Masikini MAGWANDA, KWA TAARIFA YAKO HATA KUWAZA NITAFANYA RESEARCH KWA TOPIC GANI SIJAWAZA..... UONGO MWINGINE UONE AIBU KUROPOKA KITU USICHOKIJUA POLE SANA... KAMA HII NDO AINA YA VIONGOZI BASI HATARI....ANY WAY NDO MAAANA...
Nasikitika sana kwa Field Marshal ES kutokuwa na msimamo aliokuwa nao JF back in a day wakati akitukaribisha humu,sijui what happened kusema kweli...
Naona kawa kimya sana hadi Nape anamtembelea...?
Samahani,masahihisho,
Filed Marshal ES kamanda ni huyo hapo kushoto,far left.
Naomba kusahihisha.
William ile avatar yake nilidhani ndo yeye.