Hivi huyu Warioba na Butiku wametoka wapi? Sio hawa waliotuletea huu uvundo kwa kushindwa kwao kazi walipokuwa karibu na usukani? Hivi sasa wanakula pension yao halafu wanataka kukebehi wananchi, hawa ni wezi na hakuna sababu ya kutafuta ushahidi kwa kila jambo.
Kama EL kweli anaona haku kutendewa haki afungue mashitaka kulishitaki Bunge na kamati yake. Hatuwezi kuendelea na lelemama kama hizi, kwanza ni lazima ashitakiwe arudishe ubadhirifu wa kulihujumu taifa. Anaweza kutetewa na mtetezi mkuu wa MAFISADI Mkono wa Mkono.
hawa ni wezi na hakuna sababu ya kutafuta ushahidi kwa kila jambo.
B] warioba ameongelea sakata la richmond..na kusema ripoti haikuwa mbaya ..[/B]
B]warioba ameelezwa kusikitishwa kwake na kitendo kwa utaratibu wa haki kukiukwa kwa ripoti kubwa kama hiyo kuonesha udhaifu wa kutomuhoji MTUHUMIWA MKUU.,amesema hilo kiutaratibu si sawa na kisheria imesababisha haki isionekane kutendeka[/B]
..alimlaumu mbunge lucas dseleli na mwakyembe kwa hilo..HATA hivyo seleli alijitetea kuwa wao walikuwa wakijiuliza kama wamuite wakaona anaweza kukataa..wakafikiria kumuuliza rais kama wamuite ..pia wakaacha na mwisho wakaamua bora tu wapeleke ripoti bungeni,
..hata hivyo warioba aliwaambia kwa kuwa walikuwa hawakumuita..jambo la busara lingeweza kuwa kupeleka ripoti bungeni NA KUTOPENDEKEZA LOLOTE KWA WAZIRI MKUU KWA KUWA YEYE HAKUHOJIWA ..HIVYO BUNGE LINGEFANYA KAZI YA MWISHO YA KUSIKILIZA UTETEZI WAKE ..NA KUAMUA PENDEKEZO AU AZIMIO LA KUTOA KWA RAIS KUHUSU WAZIRI MKUU..ALIMALIZIA KWA KUSEMA KWA KUWA KOSA LA KISHERIA LIMESHAFANYIKA ..IWE FUNZO KWA TUME NYINGINE ZITAKAZOFUATA...KUTOMUHUKUMU MTU BILA KUMSIKILIZA!
The past is an illusion.
Kama kuna kifungu au hakuna kifungu kinachomtaka ajiuzulu is not material to the issue.The issue ni kwamba the report is one sided and did not get Lowassas input and did not afford him a chance to clarify things from his viewpoint.
Gin imetolewa kwenye chupa haiwezi kurudi, ukurasa mpya umefunguliwa maana hata JK mwenyewe wabunge wanaweza kumcharukia kabla ya 2010.
Nimependezwa na hili bunge kwa kipindi hiki kifupi kwa kuweza kusema ukweli na kutetea walalahoi.
Hoja ilikuwa iwe 4 sided.
Richmonduli, Tanesco, Wizara ya fedha na Ofisi ya PM
Mwakyembe ameifanya 3 sided kwa kumwengua Lowassa na PM ofisi yake.
Tamati yake ni:
Lowassa alipindisha utaratibu ili kujineemesha Dr Mwakyembe naye kam bypass ili kumzukia kama mwenye na kumbana.
Mwosha huoshwa.
Kichuguu,'
Nasikia hata kule Musoma watu walikuwa wanasherehekea kuondolewa kwa Lowassa.
Watu walijua jeuri na ulafi wake.
Mlalahoi
JF Senior Expert Member Join Date: Thu Aug 2006
Kuna mada nyingine wala hazikupaswa kuwa na urefu huu.The guy was corrupt,he resigned himself (nobody forced him out of the office),he had,and still has,several legal avenues to contest the findings if he felt he was treated unfairly by the bunge committee.Kwanini hii "DEFENCE YA LOWASSA" isiachwe mikononi mwake na kwa wanasheria wake?
Pundit
Unakubali kuwa pigo limepigwa kimafia, sasa wanasheria ndiyo kitu wanachosema kuwa OK regardless kama Lowassa ana hatia au hana, pigo limepigwa kimafia na halikufuata misingi ya sheria ya kumpa kila mtuhumiwa nafasi ya kujitetea.
Nasema mtu yeyote anayejali rule of law na due process ataona kuwa the basic tenets za fairness hazikufuatwa.
Mwananchi wa kawaida wa Tanzania hata hajui rule of law ni nini, sembuse ku care.
Hebu soma majibu aliyopewa waziri mkuu mwathirika bungeni kutoka kwa Mhe Seleli
Kuna mada nyingine wala hazikupaswa kuwa na urefu huu.The guy was corrupt,he resigned himself (nobody forced him out of the office),he had,and still has,several legal avenues to contest the findings if he felt he was treated unfairly by the bunge committee.Kwanini hii "DEFENCE YA LOWASSA" isiachwe mikononi mwake na kwa wanasheria wake?
MADELA nimekuelewa,
Unakubali kuwa pigo limepigwa kimafia, sasa wanasheria ndiyo kitu wanachosema kuwa OK regardless kama Lowassa ana hatia au hana, pigo limepigwa kimafia na halikufuata misingi ya sheria ya kumpa kila mtuhumiwa nafasi ya kujitetea.
Pundit, Kipande hiki kimefunga mjadala..
Hata hivyo kamati teule imetimiza wajibu wake kwa uwazi na ukweli kama ilivyoagizwa na Bunge letu tukufu. Kwa kuzingatia umuhimu wa nafasi aliyonayo Mheshimiwa Waziri Mkuu katika uendeshaji wa shuguuli za serikali na uongozi wa nchi nzima kwa ujumla, ni wajibu wake yeye mwenyewe kupima uzito wa matokeo ya uchunguzi huuu na wajibu wake kikatiba ndani na nje ya bunge. Vile vile ni wajibu wa Bunge ambalo linathibitisha uteuzi wake kwa mujibu wa Ibara ya 51 inayothibitisha uteuzi wake. Kuangalia ikiwa matokeo ya uchunguzi huu hayajaathiri hadhi na uzito wake ndani ya bunge.
That was the next step!
Hii ndiyo sheria ya Bunge na hatuwezi kubeba sheria za mtaani na kuzifungia kirago zikubalike!