Ushapewa homework sasa unataka watu wakufanyie, halafu huna hata decency ya kuliweka swali katika context na kuondoa such broadness .
On a serious note, tupe swali zima zima, pamoja na maelezo ya mwalimu ili tuwe na uwanja mpana wa kujidai.
Unaongelea srictly software? Au unataka system nzima kuanzia data, watu mpaka ma hardware firewall mpaka ma software anti virus na encryption mapaka ma kufuli ya mlangoni?
Accordingly, cheza sana na OSI model halafu i apply kwenye security utapata majibu yote
GIYF