Nimeshakuelewa, unamaana jf ndio imetufikisha hapa tulipo. Otherwise Tanzania isingekuwa nchi fukara kiasi hiki! Ila bakhati nzuri vijijini hawajishughulishi sana na jf, kwa hiyo wao ni ma-tycoon.
naweza kuingia jf hata nikiwa kwenye shughuli zangu, si kwamba ukiingia humu huwezi fanya mambo mengine, na si lazima uketi na laptop ndo uingie jf........ Hata thr simu unaweza jimwagamwaga humu......
Anyway nipo humu 24/7, hata nikilala mkono unaendelea kuchati.......
BADILI TABIA well said, me huingia jf mara nyng nikiwa kwenye usafr to smwhr. au wakat nataka kulala ni kama naingia kusign out. c muda wowote unaingia tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.