Lawkeys
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 1,118
- 287
Salaam!
Ninampango wa kuagiza gari ya kwanza kutoka nje ya nchi.
Nimfanyakazi wa serikali na ninajua kwamba kuna exemption ya kodi kwa wafanyakazi wa serikali.
Kwa anayefahamu habari ya exemtion naomba anijulishe yafuatayo:
(1) Exemption inahusisha kodi gani"
(2) Taratibu za kuomba exemtion;
(3) Makadirio ya muda process nzima inaochukua; na
(4) Ushauri mwingine wowote wa muhimu katika hili.
Natanguliza shukrani.
Asanteni
LawKeys
Ninampango wa kuagiza gari ya kwanza kutoka nje ya nchi.
Nimfanyakazi wa serikali na ninajua kwamba kuna exemption ya kodi kwa wafanyakazi wa serikali.
Kwa anayefahamu habari ya exemtion naomba anijulishe yafuatayo:
(1) Exemption inahusisha kodi gani"
(2) Taratibu za kuomba exemtion;
(3) Makadirio ya muda process nzima inaochukua; na
(4) Ushauri mwingine wowote wa muhimu katika hili.
Natanguliza shukrani.
Asanteni
LawKeys