MmasaiHalisi
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 192
- 23
asalam alekum watanzania wenzangu, mimi ningepanda kujua kiwango kinachotozwa na TRA kama kodi pale unapoagia bidhaa kutoka nje ya Tanzania, kwa muda mrefu nilikuwa nataka kufanya biashara ya kuimport bidhaa hapa Tanzania tatizo kutokuwa na ufahamu juu ya kodi, naomba wale wote wenye uelewa mpana zaidi juu wa suala hili wanijulishe, nijue ni alimia ngapi huwa inatozwa na TRA