Import duty in tanzania

MmasaiHalisi

Senior Member
Jan 15, 2009
192
23
asalam alekum watanzania wenzangu, mimi ningepanda kujua kiwango kinachotozwa na TRA kama kodi pale unapoagia bidhaa kutoka nje ya Tanzania, kwa muda mrefu nilikuwa nataka kufanya biashara ya kuimport bidhaa hapa Tanzania tatizo kutokuwa na ufahamu juu ya kodi, naomba wale wote wenye uelewa mpana zaidi juu wa suala hili wanijulishe, nijue ni alimia ngapi huwa inatozwa na TRA
 
Viwango vya kodi vinatofautiana. Ni vema ukajulisha unataka kuingiza kitu gani ili uelemishwe.
 
From the practical point of view: Unapo import bidhaa kutoka nje kuna kodi aina mbili (kubwa)

1. Import duty - hii tutozwa kati ya kiwango cha 0% hadi 25% - 0% kwa bidhaa ambazo ni like agricultural inputs machines, computers & its accessories na all capita inputs! 5% kwa semi manufactured goods eg vipuri vya magari na 25% kwa bidhaa kamili eg nguo, magari etc.

2. VAT - huchajiwa at rate of 20% on gross cost i.e incl excise duty + import duty isipokuwa kwenye capital goods

3. Excise duty nayo huchajiwa kati ya 0% hadi 20%!

Need we say more!

Cheers
 
Last edited:
Pia wakuu mimi ningependa kujua kama kuna kiwango/kiasi gani cha bidhaa kinachochukuliwa kama ni halali kutozwa kodi. Niliwahi kuwa na Wakenya huko nje wakaniambia kwao kama quantinty ya aina moja ya bidhaa ikizidi tatu, ndipo kodi inaanza kutozwa (lakini nadhani hii inaapply kwa baadhi ya bidhaa). Kwa mfano, ukinunua kamera huko nje, basi zisizidi tatu ili usilipishwe kodi, zikizidi zinachukuliwa kama ni bidhaa za kibiashara, na zikiwa less or equal to three, inachukuliwa kama ni kwa matumizi yako tu. Kwa Tanzania mambo huwa yanakuwaje pale airport? Kuna classification yoyote ya bidhaa?
 
From the practical pint of view: Unapo import bidhaa kutoka nje kuna kodi aina mbili (kubwa)

1. Import duty - hii tutozwa kati ya kiwango cha 0% hadi 25% - 0% kwa bidhaa ambazo ni like agricultural inputs machines, computers & its accessories na all capita inputs! 5% kwa semi manufactured goods eg vipuri vya magari na 25% kwa bidhaa kamili eg nguo, magari etc.

2. VAT - huchajiwa at rate of 20% on gross cost i.e incl exercise duty + import duty isipokuwa kwenye capital goods

3. Exercise duty nayo huchajiwa kati ya 0% hadi 20%!

Need we say more!

Cheers

Mkuu Heshima mbele
Hizo ulizoandika ni kuonyesha Tanzania inafuata Sheria wew peleka mzigo wako uone
Kuna kitu kinaitwa LAKINIHiyo ndio inaumiza watu utaona document inapotea, Verifier atakutishia ku uplift, kukucheleweshea document zako makusudi TICS
In fact bado hatu ready kuendelea kuna vitu ni kwa maendeleo ya nchi kuna watu wanajiweka katikati kwa manufaa yao WIzi mtupu !
 
From the practical pint of view: Unapo import bidhaa kutoka nje kuna kodi aina mbili (kubwa)

1. Import duty - hii tutozwa kati ya kiwango cha 0% hadi 25% - 0% kwa bidhaa ambazo ni like agricultural inputs machines, computers & its accessories na all capita inputs! 5% kwa semi manufactured goods eg vipuri vya magari na 25% kwa bidhaa kamili eg nguo, magari etc.

2. VAT - huchajiwa at rate of 20% on gross cost i.e incl exercise duty + import duty isipokuwa kwenye capital goods

3. Exercise duty nayo huchajiwa kati ya 0% hadi 20%!

Need we say more!

Cheers

Mkuu heshima mbele JF kila siku tutaendelea kuwa makini. kila kitu kipo Ok ila nafikiri vidole vinamfupa kwenye keyboard hiyo katika tax terminologies inaitwa " EXCISE" - Customs clearance tax before paying VAT
 
Mkuu Heshima mbele
Hizo ulizoandika ni kuonyesha Tanzania inafuata Sheria wew peleka mzigo wako uone
Kuna kitu kinaitwa LAKINIHiyo ndio inaumiza watu utaona document inapotea, Verifier atakutishia ku uplift, kukucheleweshea document zako makusudi TICS
In fact bado hatu ready kuendelea kuna vitu ni kwa maendeleo ya nchi kuna watu wanajiweka katikati kwa manufaa yao WIzi mtupu !

Nakubaliana na wewe kwamba zipo kasoro kadhaa kwa watendaji wetu, lakini nilichotaka kukionyesha ni ukweli wa sheria na taratibu zinavyotakiwa ziwe pamoja na kodi halali unazotakiwa kulipa. For your information, watanzania tuliowengi tulishaingiwa na mdudu wa rushwa vichwani mwetu, so huwatunafikiri hakuna kitu kinakwenda bila ya kutoa rushwa....HILI SI KWELI KABISA.....wakati mwingine ni sisi wenyewe ndo huwa chanzo cha kutoa rushwa (hulazimisha mambo kwa rushwa).

Kwa ushauri wangu kama umeagiza mizigo yako nje jaribu kutumia C&F Agents, using'ang'anie kuclear mwenyewe mzigo...tumia ma agents, hope hakutakuwa na matatizo mengi sana!
 
Mkuu heshima mbele JF kila siku tutaendelea kuwa makini. kila kitu kipo Ok ila nafikiri vidole vinamfupa kwenye keyboard hiyo katika tax terminologies inaitwa " EXCISE" - Customs clearance tax before paying VAT

Thanks mkuu kwa kuiona hiyo.........! nime edit na original post yangu!

Cheers
 
Back
Top Bottom