Mngendalyasota
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 171
- 48
WanJF,
Jambo linaloonekana kuwakera wahadhiri wasiowazawa wa BUKOBA ni kitendo cha kufuatiliwa maisha yao na wenyeji. Mtaani wananyanyapaliwa utadhani si Watanzania wenzao. Wamepandishiwa kodi za nyumba eti tu kwa kuwa wao siyo wenyeji wa huko na kuwaita 'WANYAMAHANGA.' Sasa hali iliyopo kwa sasa ni kwamba hata office ya immigration mkoa na jeshi la police wameshawishiwa na wenyeji wenzao nao wameanza kuwahujumu wahadhiri wale ambao sio wenyeji wa Kagera.
Jambo linaloonekana kuwakera wahadhiri wasiowazawa wa BUKOBA ni kitendo cha kufuatiliwa maisha yao na wenyeji. Mtaani wananyanyapaliwa utadhani si Watanzania wenzao. Wamepandishiwa kodi za nyumba eti tu kwa kuwa wao siyo wenyeji wa huko na kuwaita 'WANYAMAHANGA.' Sasa hali iliyopo kwa sasa ni kwamba hata office ya immigration mkoa na jeshi la police wameshawishiwa na wenyeji wenzao nao wameanza kuwahujumu wahadhiri wale ambao sio wenyeji wa Kagera.