Nimemuongelea Madam km mdada anaetafta kick kwa vitu visivyokua vya msingi km anatafta umaarufu mzuri wa kujulikana around the world afanye mambo km haya social activities sio kujicholesha na Mimba hewa kwenye magazeti na kujionesha ana hela nyingi.....sio wadada peke yao hata sis wanaume tusaidie watoto wenye uhitaji na wasiojiweza
miaNimemuongelea Madam km mdada anaetafta kick kwa vitu visivyokua vya msingi km anatafta umaarufu mzuri wa kujulikana around the world afanye mambo km haya social activities sio kujicholesha na Mimba hewa kwenye magazeti na kujionesha ana hela nyingi.....
Pia kwa kuwa yeye anatafuta furaha ya mtoto sio lazima azae yeye kwenye tumbo lake endapo atamchukua mtoto km huyo akamlea kwa upendo na malezi bora mtoto atamthamini na kumuona km mama yake.
CHUKUA HIYO MADAM SEPETUNGA
Hivi mkuu sheria ya 'adoption' hapa bongo ikoje?!..Madada wanaotafuta watoto inawahusu kwa 100%
View attachment 408315
Wakati madada wetu wa Kibongo na Afrika wakishindana kununua Magari makali na Mavazi ya gharama wakumbuke na haya km huyu dada wa kizungu alivyofanya.
Hiyo picha sio halisi ya huyo mtoto angalia hizi hapaView attachment 408315
Wakati madada wetu wa Kibongo na Afrika wakishindana kununua Magari makali na Mavazi ya gharama wakumbuke na haya km huyu dada wa kizungu alivyofanya.
Shida zilimkomaza so kaenda kwenye mazingira mengine yenye baridi na kula vyakula vyenye virutubishoHii picha haina uhalisia kabisa..! Yule mtoto pale Nigeria alishakuwa mtu mzima kiasi, huyu aliyebebwa anaonekana mdogo sana... mteke mteke kabisa..
Yule mweusi, huyo mweupe tena point 5!
Huu ni uongo wa mchana kweupe
Haruhusiwi kuja mdai mtoto baadae? Maana nchi nyingine mtoto huwa anachukuliwa akiwa mchanga, na wazazi huwa hawakutani na anaemchukua mtoto. Wao humwacha kwa serikali Ustawi wa jamii na anaemchukua huja kumchukulia hapo serikalini... kuepusha migogoro ya baadae...Rahisi sana ni kuelewana kati yako na wazazi wa mtoto kukiwa na watu wa ustawi wa jamii pamoja na serikali especialy polisi.
ndio awe point 5...! achen utani aiseeShida zilimkomaza so kaenda kwenye mazingira mengine yenye baridi na kula vyakula vyenye virutubisho
Maudhui ya thread hii ni km Kichwa cha habari kinavyosema hayo mengine ni miongezaHiyo picha sio halisi ya huyo mtoto angalia hizi hapaView attachment 408355View attachment 408356View attachment 408357View attachment 408358
Mkuu watu wengi ambao hawajawahi kuzaa wanakuwaga na roho za namna yakeView attachment 408347
View attachment 408348
Je, kipi bora kumsaidia Mtoto km huyo hapo juu na kulea Mbwa?....unaweza ukakuta malezi ya huyo mbwa kwa siku ni makubwa kuliko kumsaidia Mtoto.