IMF wathibitisha, Serikali imeishiwa!

Tafadhali soma jedwali hapo chini.

Mwaka wa FedhaMapato ya ndani (Shillingi)Fedha za Wahisani (Shillingi)Jumla ya Bajeti (Shillingi)Asilimia ya Wahisani kwenye bajeti (%)Asilimia ya mapato ya ndani kwenye bajeti (%)
2010 – 20118.3 trillion3.2 trillion11.6 trillion28%72%
2011 – 20126.7 trillion3.9 trillion13.5 trillion28%49%


Wewe au Mkullo anatuambia nini hapo juu? Kwani bajeti iliyopita aliahidi by 2015 dependency yetu kwa wahisani itashuka to under 10%; kwa sasa ipo at 28% kwa two financial periods mfululizo. Based on the table above, inahitaji akili zipi za ziada kujua kwamba June 2012 Mkullo atakuja bajeti yenye Aid dependency above 28%? Kwani ishara ipo wazi – angalia mwaka wa 2010 – 2011 mchango wa wahisani ni 28% of the budget na mchango wa mapato yetu ya ndani on the budget ni 72%; then mwaka wa fedha 2011 – 2012 wahisani bado wapo at 28% in terms of mchango wao kwenye our budget, lakini mchango wa mapato yetu towards the budget yameshuka from 72% (2010 – 2011) to 49% (2011 – 2012); Je unafahamu the remaining 33% ya fedha towards bajeti yetu ya 2011 – 2012 imetokea wapi? imetokana na among other things, mikopo toka mabenki yetu, pesa za pension funds za wafanyakazi wetu ndio maana malipo ya wastaafu ni vurugu tupu; Pia imetokana na selling of government securities and bonds ambazo hata hivyo kwa sasa hazina thamani ya maana kwa wanunuzi kwani serikali imechacha kiasi cha kutovutia hata hizo securities;

Hakuna shaka kwamba given uchwara wa uchumi wa Mkullo na Ndullu, in the coming financial year, tutarudi kwa donors tena kwani kama BOT wana nia nzuri na uchumi huu, lazima waiambie serikali kwamba sasa basi, hakuna hela huku BOT na punguzeni kutegemea mabenki ya biashara kwani by doing so serikali inazidi dry up the liquity ya private sector hapa nyumbani na hivyo kupelekea less and less money to be available for capital/investment in the economy kitu ambacho kitazidi shusha GDP growth; Cha ajabu ni kwamba BOT badala yak u deal na fiscal problems za serikali ambazo ni moja ya vyanzo vikubwa vya inflation (kwani 60% ya bajeti inaenda kwenye posho na misharaha na malipo ya makampuni za tender); na badala ya BOT kushughulikia mzunguko wa M-PESA ambao ni 50% ya jumla ya mzunguko wa pesa nchini, BOT inaendelea kuwaogopa wamiliki wa VODACOM na hivyo not to bother to regulate M-PESA; Jumla ya M-PESA transactions ni 20 billion shillings a day, jumla ya transactionz zote za mabenki Tanzania ni 20 billion shillings a day; sasa BOT wanapoenda kupandisha interest rate and cash reserve requirements za commercial banks maana yake si they are just dealing with 50% of the cash in the economy a kuacha the 50% under MPESA kufanya watakavyo? Uchumi gani huu kama sio uchwara; hatua za BOT juzi zinaumiza tu private sector bure wakati tatizo kubwa lipo kwenye upande wa matumizi ya serikali;

Na bajeti ijayo, dependency on foreign AID kwenye bajeti itapanda tu from the current level of 28%, ndio maana David Cameroon anatamba na condition yake ya ‘ushoga' because he knows hiyo 28% unayomsifia Mkullo dada yangu faiza itarudi juu; tusubiri June 2012 bajeti ya 2012 – 2013 tuone;

Sasa hiyo dependency ifananishe na kabla ya kikwete uone ilikuwa ngapi. Nakuambia siku zote wacha pumba, atakuja, atakuja, mimi nataka reality sio hypothesis. Ukisema atakuja na hili na lile useme pia na mapato mapya yanayotarajiwa ambayo kabla ya October yalikuwa hayajulikani au huyajui hayo? sasa kama unayajuwa ongeza na hayo halafu useme atakuja.
 
Mpaka sasa naona blablablaa, jibuni haya mnanitia uvivu hata kuiongezea hii list:


  1. Weka idadi ya barabara za lami kabla ya Kikwete
  2. Weka idadi ya Shule kabla ya Kikwete
  3. Weka idadi ya Waalimu kabla ya Kikwete
  4. Weka idadi ya Zahanati kabla ya Kikwete
  5. Weka idadi ya Viwanda kabla ya Kikwete
  6. Weka idadi ya Utalii kabla ya Kikwete
  7. Weka idadi ya Umeme kabla ya Kikwete
  8. Weka idadi ya Maji kabla ya Kikwete
  9. Weka idadi ya kazi kabla ya Kikwete
  10. Weka idadi ya biashara kabla ya Kikwete
  11. Weka idadi ya umaskini kabla ya Kikwete
  12. Weka idadi ya kilimo kabla ya Kikwete
  13. Weka idadi ya bidhaa zinazopita bandari zetu kabla ya Kikwete
  14. Weka akiba ya fedha tulokuwa nayo kabla ya Kikwete
 
Mpaka sasa naona blablablaa, jibuni haya mnanitia uvivu hata kuiongezea hii list:


  1. Weka idadi ya barabara za lami kabla ya Kikwete
  2. Weka idadi ya Shule kabla ya Kikwete
  3. Weka idadi ya Waalimu kabla ya Kikwete
  4. Weka idadi ya Zahanati kabla ya Kikwete
  5. Weka idadi ya Viwanda kabla ya Kikwete
  6. Weka idadi ya Utalii kabla ya Kikwete
  7. Weka idadi ya Umeme kabla ya Kikwete
  8. Weka idadi ya Maji kabla ya Kikwete
  9. Weka idadi ya kazi kabla ya Kikwete
  10. Weka idadi ya biashara kabla ya Kikwete
  11. Weka idadi ya umaskini kabla ya Kikwete
  12. Weka idadi ya kilimo kabla ya Kikwete
  13. Weka idadi ya bidhaa zinazopita bandari zetu kabla ya Kikwete
  14. Weka akiba ya fedha tulokuwa nayo kabla ya Kikwete

Halafu
  1. Weka idadi ya safari za Kikwete na Mkewe (nje + ndani)
  2. Weka idadi ya bungabunga za Kikwete pale magogoni
  3. ...
  4. (list ni ndefu & trickles down to mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakuu wa maidara, etc.etc.)
 
Sasa hiyo dependency ifananishe na kabla ya kikwete uone ilikuwa ngapi. Nakuambia siku zote wacha pumba, atakuja, atakuja, mimi nataka reality sio hypothesis. Ukisema atakuja na hili na lile useme pia na mapato mapya yanayotarajiwa ambayo kabla ya October yalikuwa hayajulikani au huyajui hayo? sasa kama unayajuwa ongeza na hayo halafu useme atakuja.

FF,
Kumbe shida yako kubwa ni kuhusishwa kwa Kikwete katika matatizo yetu ya uchumi? Yeye ndo kinara halafu ndo anachagua wasaidizi na hata waganga wanaomtibu. If there is a problem, lazima zigo limuangukie yeye. Kazi yake ni kutalii tu anasahau kumanage hata uchumi halafu unamtetea kama vile anaonewa. Katika marais wote wa nchi yetu, anaowakati mgumu sana wa kutueleza alichofanya ni nini zaidi ya kutufilisi na kutufanya maskini,ikiwa yeye yuko busy na kupiga picha na masupa staa wa nje.
Kifupi, hali ya uchumi wetu ni mbaya na tatizo ni yeye kuwa kiongozi asiyejari wasaidizi wake wanafanya nini
 
Mpaka sasa naona blablablaa, jibuni haya mnanitia uvivu hata kuiongezea hii list:

  1. Weka idadi ya barabara za lami kabla ya Kikwete
  2. Weka idadi ya Shule kabla ya Kikwete
  3. Weka idadi ya Waalimu kabla ya Kikwete
  4. Weka idadi ya Zahanati kabla ya Kikwete
  5. Weka idadi ya Viwanda kabla ya Kikwete
  6. Weka idadi ya Utalii kabla ya Kikwete
  7. Weka idadi ya Umeme kabla ya Kikwete
  8. Weka idadi ya Maji kabla ya Kikwete
  9. Weka idadi ya kazi kabla ya Kikwete
  10. Weka idadi ya biashara kabla ya Kikwete
  11. Weka idadi ya umaskini kabla ya Kikwete
  12. Weka idadi ya kilimo kabla ya Kikwete
  13. Weka idadi ya bidhaa zinazopita bandari zetu kabla ya Kikwete
  14. Weka akiba ya fedha tulokuwa nayo kabla ya Kikwete


Nadhani wewe ni kibaraka wa mtu fulani na kama sio basi akili yako ni sawa na ya sisimizi
 
FF,
Kumbe shida yako kubwa ni kuhusishwa kwa Kikwete katika matatizo yetu ya uchumi? Yeye ndo kinara halafu ndo anachagua wasaidizi na hata waganga wanaomtibu. If there is a problem, lazima zigo limuangukie yeye. Kazi yake ni kutalii tu anasahau kumanage hata uchumi halafu unamtetea kama vile anaonewa. Katika marais wote wa nchi yetu, anaowakati mgumu sana wa kutueleza alichofanya ni nini zaidi ya kutufilisi na kutufanya maskini,ikiwa yeye yuko busy na kupiga picha na masupa staa wa nje.
Kifupi, hali ya uchumi wetu ni mbaya na tatizo ni yeye kuwa kiongozi asiyejari wasaidizi wake wanafanya nini

Mbona unaongea vitu hata akilini haviingii? Soma list na challenge niliyoitowa huko juu. Halafu ujibu.
 
Mbona unaongea vitu hata akilini haviingii? Soma list na challenge niliyoitowa huko juu. Halafu ujibu.

Uchumi wa Tanzania wapaa kama Jumbo Jet

Taarifa iliyotolewa hivi leo na taasisi la Kupambana na Malaria na umaskini kwa nchi zinazoendelea inaonyesha kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi ya ajabu ambayo haijawahi tokea duniani. Akitoa taarifa hiyo mjini Doha nchini Qatari, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dr. Cryspirin Rostum Asis inaonyesha kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa kwa asilimia 72.8 na umaskini unapungua kwa asilimia 32.9 kwa mwaka kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa katika historia ya maendeleo duniani. Aidha taarifa hiyo inabainisha kuwa kukua huko ni matokeo ya uongozi thabiti na imara wa Tanzania kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. Taarifa hiyo inaitaja Libya kama ni ya mwisho na inazidi kubainisha kuwa iwapo kasi ya ukuaji wa uchumi na upunguzaji umaskini kwa Tanzania itaenda hivyo, nchi hiyo itaondoka katika kundi la nchi maskini na kuwa medium icome countries katika kipindi cha miaka minne ifikapo 2015. Sekta zinazotajwa kuchangia ukuaji huo ni kilimo kwanza, madini, nishati na mapinduzi ya viwanda na teknolojia yanayofanyika nchini humo.

Source: Aljazeera arabic channel na mimi nilikuwepo kwenye uzinduzi huo.

My take: this is good move to our country and our estmeed His Excellecy President Dr. JMK.
 
Sasa hiyo dependency ifananishe na kabla ya kikwete uone ilikuwa ngapi. Nakuambia siku zote wacha pumba, atakuja, atakuja, mimi nataka reality sio hypothesis. Ukisema atakuja na hili na lile useme pia na mapato mapya yanayotarajiwa ambayo kabla ya October yalikuwa hayajulikani au huyajui hayo? sasa kama unayajuwa ongeza na hayo halafu useme atakuja.
Kweli wewe FF umewekwa na serikali ya JK na kina Mkulo kutetea ujinga, sasa data zote ulizomwagiwa hapa bado unasema eti na kabla ya Kikwete!!!! Shida kubwa hapa umeambiwa ni unnecessary Gov expenditure, mara tunaongeza wilaya, mara mikoa, mara wizara hebu piga hesabu za gharama ya kuweka hivyo vitu uone!!!!!!!!!! Bunge nalo linapanuliwa mara viti maalumu mara posho ziongezwe,safari za mkulu wa boma ndio usiseme kwa mapato gani hayo ndg yangu??????? Mkapa alijitahidi kudhibiti inflation kwa kiasi kikubwa, aliacha fedha kibao kwenye coffers za serikali, lakini zimefujwa na kuisha kabisa!!!!!!!
FF tafadhari wacha kutetea ujinga unao tuangamiza na taifa letu kwa ujumla!!!!!!!!
The best job goes to the person who can get it done without passing the buck or coming back with excuses!!!
Napoleon Hill !!
 
Hii ni dalili tosha kuwa JK nchi imemshinda kabisa, halafu nashangaa kabisa kuna mijitu humu sijui ni mifisadi kucha kutetea serikali legelege.

Bora hata ingekuwa legelege, serikali ya Kikwete ni 100% worse than legelege
 
Anatetea kitumbua chake, hata useme ukweli kiasi gani hatakuelewa kamwe!


Kweli wewe FF umewekwa na serikali ya JK na kina Mkulo kutetea ujinga, sasa data zote ulizomwagiwa hapa bado unasema eti na kabla ya Kikwete!!!! Shida kubwa hapa umeambiwa ni unnecessary Gov expenditure, mara tunaongeza wilaya, mara mikoa, mara wizara hebu piga hesabu za gharama ya kuweka hivyo vitu uone!!!!!!!!!! Bunge nalo linapanuliwa mara viti maalumu mara posho ziongezwe,safari za mkulu wa boma ndio usiseme kwa mapato gani hayo ndg yangu??????? Mkapa alijitahidi kudhibiti inflation kwa kiasi kikubwa, aliacha fedha kibao kwenye coffers za serikali, lakini zimefujwa na kuisha kabisa!!!!!!!
FF tafadhari wacha kutetea ujinga unao tuangamiza na taifa letu kwa ujumla!!!!!!!!
The best job goes to the person who can get it done without passing the buck or coming back with excuses!!!
Napoleon Hill !!
 
Hata waliokutuma hawajui ku-recruit watu wenye akili japo kidogo ya kudanganya! Ungekuwa na akili japo ya kuku usingeandika utumbo huu ulioandika hapa. Uchumi ungekua kwa asilimia hizo serikali ingeshindwa kulipa mishahara?

Walio kutuma na waendelee kuota ndoto za mchana, na mtaota mazuzu peke yenu. Hata semi illiterate wameamka


Uchumi wa Tanzania wapaa kama Jumbo Jet

Taarifa iliyotolewa hivi leo na taasisi la Kupambana na Malaria na umaskini kwa nchi zinazoendelea inaonyesha kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi ya ajabu ambayo haijawahi tokea duniani. Akitoa taarifa hiyo mjini Doha nchini Qatari, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dr. Cryspirin Rostum Asis inaonyesha kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa kwa asilimia 72.8 na umaskini unapungua kwa asilimia 32.9 kwa mwaka kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa katika historia ya maendeleo duniani. Aidha taarifa hiyo inabainisha kuwa kukua huko ni matokeo ya uongozi thabiti na imara wa Tanzania kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. Taarifa hiyo inaitaja Libya kama ni ya mwisho na inazidi kubainisha kuwa iwapo kasi ya ukuaji wa uchumi na upunguzaji umaskini kwa Tanzania itaenda hivyo, nchi hiyo itaondoka katika kundi la nchi maskini na kuwa medium icome countries katika kipindi cha miaka minne ifikapo 2015. Sekta zinazotajwa kuchangia ukuaji huo ni kilimo kwanza, madini, nishati na mapinduzi ya viwanda na teknolojia yanayofanyika nchini humo.

Source: Aljazeera arabic channel na mimi nilikuwepo kwenye uzinduzi huo.

My take: this is good move to our country and our estmeed His Excellecy President Dr. JMK.
 
Halafu
  1. Weka idadi ya safari za Kikwete na Mkewe (nje + ndani)
  2. Weka idadi ya bungabunga za Kikwete pale magogoni
  3. ...
  4. (list ni ndefu & trickles down to mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakuu wa maidara, etc.etc.)

Looohh, umeshindwa kujibu hata moja? Huna hoja, kaa pembeni.
 
Uchumi wa Tanzania wapaa kama Jumbo Jet

Taarifa iliyotolewa hivi leo na taasisi la Kupambana na Malaria na umaskini kwa nchi zinazoendelea inaonyesha kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi ya ajabu ambayo haijawahi tokea duniani. Akitoa taarifa hiyo mjini Doha nchini Qatari, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dr. Cryspirin Rostum Asis inaonyesha kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa kwa asilimia 72.8 na umaskini unapungua kwa asilimia 32.9 kwa mwaka kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa katika historia ya maendeleo duniani. Aidha taarifa hiyo inabainisha kuwa kukua huko ni matokeo ya uongozi thabiti na imara wa Tanzania kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. Taarifa hiyo inaitaja Libya kama ni ya mwisho na inazidi kubainisha kuwa iwapo kasi ya ukuaji wa uchumi na upunguzaji umaskini kwa Tanzania itaenda hivyo, nchi hiyo itaondoka katika kundi la nchi maskini na kuwa medium icome countries katika kipindi cha miaka minne ifikapo 2015. Sekta zinazotajwa kuchangia ukuaji huo ni kilimo kwanza, madini, nishati na mapinduzi ya viwanda na teknolojia yanayofanyika nchini humo.

Source: Aljazeera arabic channel na mimi nilikuwepo kwenye uzinduzi huo.

My take: this is good move to our country and our estmeed His Excellecy President Dr. JMK.

Mkweo yupo mashakani. Mwambie pole yake.
 
Hata waliokutuma hawajui ku-recruit watu wenye akili japo kidogo ya kudanganya! Ungekuwa na akili japo ya kuku usingeandika utumbo huu ulioandika hapa. Uchumi ungekua kwa asilimia hizo serikali ingeshindwa kulipa mishahara?

Walio kutuma na waendelee kuota ndoto za mchana, na mtaota mazuzu peke yenu. Hata semi illiterate wameamka
Mtoboasiri, hebu soma posti na. 362 iliyopostiwa na FF akijibu posti yangu then rudia posti yangu uliyocomment utajua why. Hizo ndo information ambazo FF anataka kusoma na kusikia tu si vinginevyo!
 
Wameshakopa several times domestic banks kwa ajili ya kulipa mishahara i.e P.E account ya serikali ni nusu kaputi!!!!

juzi tu wamekopa benki za ndani fedha ya kununua mahindi ya hifadhi ya chakula ya taifa. Vielelezo vya serikali kufilisika vipo vingi.
 
Merekani wanakopa itakuwa Tanzania? mnanchekesha!

Faiza dada yangu usiwe kilaza namna hiyo; utanifanya niache kusoma posts zako.

  1. Tanzania siyo Marekani.
  2. Tanzania haina uwezo wa kiuchumi kama wa Marekani.
  3. Tanzania inaomba mikopo kwa wahisani, wakati kwa Marekani ni wawekezaji ndio wanaoikimbilia kuikopesha ili wapate faida.
  4. Marekani inaweza isikope kabisa kwa mtu yeyote na bado ikajiendesha kwa vile ina uwezo wa kuwakata raia wake kodi ya kutosha kulipia gharama zote za serikali. Tanzania haina uwezo huo.
  5. Tanzania siyo Marekani, na wala usilinganishe Tanzania na Marekani katika mambo ya uchumi.
 
Back
Top Bottom