Kaitampunu JF-Expert Member Nov 24, 2011 1,995 775 Jul 7, 2012 #3 Kaka Sam said: how hot z mans' neck? Click to expand... Hii siyo pemba kweli?
last man standing Member Apr 3, 2012 79 13 Jul 8, 2012 #5 duuuh jamaa hii kazi lazima aipende..... coz anapata majotro ya aina mbalimbali..
C CHUAKACHARA JF-Expert Member Jun 3, 2011 12,358 6,422 Jul 8, 2012 #7 Kaka Sam said: how hot z mans' neck? Click to expand... Joto linatoka wapi hapo kwenye shingo? Kufikirika!!!!
Kaka Sam said: how hot z mans' neck? Click to expand... Joto linatoka wapi hapo kwenye shingo? Kufikirika!!!!
SIERA JF-Expert Member Apr 11, 2011 2,779 3,401 Jul 8, 2012 #8 Nigeria iyo msojua...wamepata mafuriko juzi kati
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jul 8, 2012 #9 Duuh si angetoa hiyo hijab au angevaa suruali maana mipaja yote wazi!
Neylu JF-Expert Member May 28, 2012 2,938 1,842 Jul 8, 2012 #10 Bora angevaa U mini ikajulikana moja..
georgeallen JF-Expert Member Jun 3, 2011 4,118 1,868 Jul 8, 2012 #11 Mbona jamaa kaminya pua na midomo hivyo. Uvundo au kitu gani? kwa namna hii akimaliza kazi hawezi kupata mi-fungus shingon?i
Mbona jamaa kaminya pua na midomo hivyo. Uvundo au kitu gani? kwa namna hii akimaliza kazi hawezi kupata mi-fungus shingon?i
driller JF-Expert Member Aug 25, 2011 1,116 240 Jul 9, 2012 #12 Daaah hapo pa mifungus jamaa anaweza akajikuta anaikwaa asee hahahahahaaaaaa
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 Jul 9, 2012 #15 BLB said: aliepiga picha alikuwa wp, bado nafikiria Click to expand... Kwenye Boti!
Badu JF-Expert Member Jun 2, 2012 407 106 Jul 9, 2012 #17 last man standing said: duuuh jamaa hii kazi lazima aipende..... coz anapata majotro ya aina mbalimbali.. Click to expand... haaa haa haaa umeonaee m ningetoa msaada bure kwa kinadada 2
last man standing said: duuuh jamaa hii kazi lazima aipende..... coz anapata majotro ya aina mbalimbali.. Click to expand... haaa haa haaa umeonaee m ningetoa msaada bure kwa kinadada 2
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,637 4,521 Jul 10, 2012 #18 Hawakukosea waliosema msafiri kafiri kaka..