CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Wengi wamepona ati..........
Si ajabu hata YESU alibatizwa na YOHANA MBATIZAJI ingawaje hakuhitaji huo ubatizo[/QUOTE
Hata haviendani. Kwamba ukirudi enzi hizo, Shekhe yahaya ni zaidi ya babu?
Hapa Waislamu hawana ujanja!! Wamelazimishwa kumtambua Yesu! Wanatibiwa kwa imani ya kikristo!! Halafu tusikie kesho wakiponda ukristo kuwa ni ukafir!!
does this qualify to be a breaking news!... ?!! washirikina wameenda kukutana labda wameibiana majini.. hamna lolote! lete issue za maana hakuna dawa ya ukimwi! dawa ni kuacha ngono zembe NUKTA
Mkuu naomba nipingane na wewe! Toka binadamu wa kwanza kuletwa duniani(Adamu) Mungu ni yule yule! Tofauti za kiimani zilizopo sasa ulimwenguni zimetokana na wale wapokeaji wa ujumbe wa Mungu! Wapo walioamua kuchakachua ujumbe huo wa Mungu kwa personal interests, otherwise tungekua wote katika itikadi na imani moja.
Vilevile wapo wakristo ambao wanampinga Babu! Mmojawapo alisikika akisema toka asikie habari za Babu hakuwahi kumsikia Babu akitaja neno YESU. Babu huwa anamtaja Mungu! Hii imemfanya mama huyu mlokole awe na mashaka na amesema katu hatuthubutu kwenda Liliondo!
Kwa waislamu kuna maajabu mengi yameshaelezwa kuja kutokea wakati ambao inaaminika ni siku za mwisho kabisa wa Dunia. Case ya Babu wa Liliondo inashabihiana kwa karibu na baadhi ya cases zilizotabiriwa. Kwa muumin mzuri wa kiislamu, hii ni miongoni mwa mitihani ya Dunia, subra na kuzidisha ibada ndio njia pekee itakayokuvusha salama katika Dunia hii.
Loliondo kwa babu kuna mambo. Inasemekana kua mtu akishapata kikombe cha babu bila kutoa ushuhuda kwa ndugu jamaa na marafiki wa karibu uwezi kupona. Unatakiwa ushuhudie ulikua unaumwa nini, ulikua unajisikiaje kabla ya kikombe na je unajisikiaje baada ya kikombe. Mwisho wa siku mtu asiache kufanya hili kwani asipopona asimlaumu babu.