Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
kumbe hatuna serikali!!!. Kama MAWAZIRI ( W. LUKUVI NA WENGINEO), WAKUU WA MIKOA (KANDORO NA WENGINEO), WABUNGE (LOWASSA, MREMA NA WENGINEO) na wananchi wengine walipata kikombe na wengine kutamba majukwani kuwa wapo 'fiti' na wakati huohuo WIZARA YA AFYA KUPITIA NAIBU WAZIRI DR. LUCY NKYA (wakati huo) ikatangaza kuwa imethibitisha kuwa DAWA ya BABU inatibu na haina madhara yoyote, iweje leo wamgeuke. HAKYA MUNGU, BINAFSI NITAUNGANA NA MAWAKILI WENGINE KUMTETEA BABU.