Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Wafuatao wamethibitisha kupona kabisa:
1. Mh.Steven Wassira
2. Mh.Nimrod Mkono
3. Mh.Augustine Mrema
4. Mh.JMK wa Magogoni
Mrema tunajua alikuwa mgonjwa wa kisukari,
hao wengine walikuwa na matatizo gani?...