Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,756
- Thread starter
- #21
hirizi hiyo,
wanadanganywa sana MKUU, si ajabu humo kilichowekwa kikawa majivu au mchanganyiko wa majani basi. halafu mhusika unaaminishwa kuwa itakusaidia, si ajabu moja ya sharti utakalopewa ni kufanya kazi kwa bidii. Ukifanikiwa unasahau bidii yako ktk kazi, unaisifu hirizi. Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumfanya ndiye kinga yake
waganga wengi ni watu wa saikolojia sana. Jamaa bila shaka kaambiwa apige mzigo kama punda