Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,741
ndo kwa mara ya kwanza niliona hii kitu ikiwa imedondoshwa na mjasiriamali mmoja maana sehemu nilipoikuta (kwenye kiti) walikuwepo wajasiriamali kadhaa.Mbona inakuwa kama hirizi? Mwenyewe hajitokezo ng'o
watu bwana!! sijui humo ndani huwa wanaweka nini.
Kadondosha motor lazima ataitafuta
wanawekewa wadudu..! halafu yale madudu yakiwa yanapumua wanaambiwa hirizi inapumua...! yani watu wanadanganywa kweli..!
utachanganya madawa mkuu. kitu cha biashara hichoNaiomba mimi aisee, kuna demu ananisumbua sana......
Unakuta ni sista du mzuriii! lakini anamiliki hii kitu kwenye kipimajoto!
KURANI na haja kubwa ya mijusiwatu bwana!! sijui humo ndani huwa wanaweka nini.
hirizi hiyo,watu bwana!! sijui humo ndani huwa wanaweka nini.