bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,114
- 20,002
- Thread starter
- #321
umeongea point sana kakaMkuu pole sana
Hapo una option mbili baada ya kulitekeleza hili la KUACHANA NAE ambalo ni lazima ulitekeleze. Ukiendelea nae utajikuta siku moja unaozea Segerea maana majibu anayokupatia ukiwa nae karibu unaweza ua bila kukusudia.
Option1: Achana nae na usioe tena maishan mwako, unaweza kuzaa watoto wengine lakini usioe mama zao na ukawalea. Tahadhari hapa ni huu, watoto walelewe na mama zao na wewe utoe huduma, wakililewa na house girls itakuwa majanga.
Option 2. Tulizana, tafute mke mwingine ili uone. Tahadhari, usioe kea kupanic wala kumkomoa huyo mzazi mwenzio. Tatua tatizo lako linalokukabili la kuwa na mke malaya na jeuri, usije ukajikuta unapata janga zaid ya hili kwa kukurupuks