Complicator EM
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 155
- 39
Nikiwa kwenye gari nasafiri nimepanda hiace.
Mimi: konda samahani nataka kujisaidia.
Konda: Jisaidie tu kwani nani kakuzuia mkuu, au unataka nikusaidie mimi?
Mimi: Konda namaanisha nataka kuchimba dawa.
Konda: Unaumwa nini mkuu na umejaribu dawa zote za hospitali zimeshindwa?
Abiria wote: Aaaaagh, konda simameni tuchimbe dawa bwana.
Dereva: Haya andaeni majembe yenu basi karibu tunafika penye dawa za kienyeji.
Mimi: konda samahani nataka kujisaidia.
Konda: Jisaidie tu kwani nani kakuzuia mkuu, au unataka nikusaidie mimi?
Mimi: Konda namaanisha nataka kuchimba dawa.
Konda: Unaumwa nini mkuu na umejaribu dawa zote za hospitali zimeshindwa?
Abiria wote: Aaaaagh, konda simameni tuchimbe dawa bwana.
Dereva: Haya andaeni majembe yenu basi karibu tunafika penye dawa za kienyeji.