Unajua wadogo zetu mnatafuta ajira kwa udi na uvumba.....na mtu anayetumia mbinu hii ya kuwatapeli.....naombeni tushirikiane kwa pamoja....ipo siku tutawanasa tu...
Tuanzisheni kikundi maalumu cha jobseekers JF na wenye mapenzi mema na JF job seekers ambacho kitakuwa na viongozi mtaowachagua.....na kuwajulisha taarifa kama hizi kwa pamoja tutawakamata tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.