I'm back...angalia hii hapo chini......! .....Bibie wewe ulishadhamiria na ulikuwa unamegwa toka long time na hilo buzi....hapa watafuta justification tu.......Lol!
Nashukuru nl
I'm back...angalia hii hapo chini......! .....Bibie wewe ulishadhamiria na ulikuwa unamegwa toka long time na hilo buzi....hapa watafuta justification tu.......Lol!
Asanteni wachangiaji wote, jibu nimeshalipata. All the best and have good life all people.
Baeleze ndugu yangu.It's all about the future na Mrs. yupo hapa kutafuta nasaha za jinsi ya kukabiliana na kumudu mustakabali wa maisha yake. Hakuna haja wala sababu ya msingi kuchimbua yaliyopita.
Ndo kama hivi sasa.Mh! Hivi hili liliisha vipi?
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/23584-kuishiwa-hamu.html
Watu bwana ya nini kuchimbua vipolo, mtu ukiona analalamika sana kwenye ndoa ujue yamemfika shingoni.Mh! Hivi hili liliisha vipi?
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/23584-kuishiwa-hamu.html
Kwa sababu ni demu akeleta basi nongwaaa. Ok kuharibu sasa mimi ni dume na ilikuwa ni chemsha bongo tuu kwa all the topics nilizokuwa naleta humu.Inakuwaje watu wanakuja kutafuta Justification za kumegwa au Kumega nje ya Ndoa Hapa JF?
Kwa sababu ni demu akeleta basi nongwaaa. Ok kuharibu sasa mimi ni dume na ilikuwa ni chemsha bongo tuu kwa all the topics nilizokuwa naleta humu.
Kwa sababu ni demu akeleta basi nongwaaa. Ok kuharibu sasa mimi ni dume na ilikuwa ni chemsha bongo tuu kwa all the topics nilizokuwa naleta humu.
Kwa sababu ni demu akeleta basi nongwaaa. Ok kuharibu sasa mimi ni dume na ilikuwa ni chemsha bongo tuu kwa all the topics nilizokuwa naleta humu.
Poa, vipi mambo dogo. Ndo hivyo siunajua tena mambo ya hawa wadudu...wakishasema wamesema.Bro vipi, mbona leo kazini hukuja au shemeji kakuzuwia nini?
Wanajamii za leo jamani,
Niko kwenye ndoa ya almost two years, hatuna bado mtoto na my mr. Ktk hiki kipindi chote hadi sasa ndoa kwa kweli imekuwa na ups and downs kama kawaida. Ila cha ajabu nilichokuwa na hisia nacho toka nilipoanza kuishi na mwenzangu majibu nimeyapata...ana mega nje ya ndoa tena aliye kuwa girlfriend wake wa zamani, kutokana na taarifa niliyopewa na wake za marafiki zake wakaribu. Nampenda sana my mr. ila sijui ni nini hasa kilichompelekea kuanza tena uhusioano na huyo mama maana anamzidi kama 10 years hivi. Nikitu kimeniuma sana roho kunipelekea, ss kutokumjali tena, na kuamua kuwa na boyfriend wa kuniliwaza. Je, nimefanya kosa katika hili. All the evidence i had na akaomba msamaha nimsamehe. Nilimsamehe lakini na mimi nimehakikisha nimetafuta wangu wa nje ili tu balance.
Kwa sababu ni demu akeleta basi nongwaaa. Ok kuharibu sasa mimi ni dume na ilikuwa ni chemsha bongo tuu kwa all the topics nilizokuwa naleta humu.
Sick Psychopath, most likely a woman [pathetic woman] or bisexual man with all sorts of child abuse trying to stir some havoc simply to get attention... probably gay altogether!!
Sadly, JF is not a place for you and i would pray that you receive at least 6 months ban because this is not a time wasting forum... we have all the quality people around that we learn from them everyday!!!
kama umetumwa, kamwambie aliyekutuma... umemaliza kazi yake, na kama ni drama queen, basi nenda ukatafute wapuuzi wenzako mtekenyane, mkimaliza mpeane pumba mlate
&&^&)))$@#@@****&^
Shwain mkubwa.....