akelu kungisi
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 115
- 19
Nimeliona jina la kamanda huyu kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya katika vyombo vya habari vyote.
Ninachofahamu ni kuwa mtu yeyote kabla hajawa mkuu wa wilaya huwa anaarifiwa mapema kwa minajiri ya kukubali au kukataa uteuzi huo. Taabu ninayoipata ni kuwa huyu jamaa ni juzijuzi tu kajiunga na CDM kwa mbwembwe nyingi sana, wengi wetu tulikuwa na mashaka kuwa ametumwa kwa kazi 'maalumu' lakini tulishambuliwa mno kwa muono huo.
Leo hii huyu bwana kateuliwa na Chama alichokuwa anakikandia kuwa kimepotea.
Wakuu, ni punguani tu ndiye anaweza kuamini kuwa huyu bwana hakutumwa CDM kufanya kazi maalumu!
My take;
CDM kwa mara nyingine tena kuweni makini na wavu wenu kwani chandarua yenu ina vitundu vinavyoruhusu nyuki kupita kwenda ndani kung'ata na hata kumuangamiza mtoto anayekua! Na hapa ni wengi waliopenya.
Ninachofahamu ni kuwa mtu yeyote kabla hajawa mkuu wa wilaya huwa anaarifiwa mapema kwa minajiri ya kukubali au kukataa uteuzi huo. Taabu ninayoipata ni kuwa huyu jamaa ni juzijuzi tu kajiunga na CDM kwa mbwembwe nyingi sana, wengi wetu tulikuwa na mashaka kuwa ametumwa kwa kazi 'maalumu' lakini tulishambuliwa mno kwa muono huo.
Leo hii huyu bwana kateuliwa na Chama alichokuwa anakikandia kuwa kimepotea.
Wakuu, ni punguani tu ndiye anaweza kuamini kuwa huyu bwana hakutumwa CDM kufanya kazi maalumu!
My take;
CDM kwa mara nyingine tena kuweni makini na wavu wenu kwani chandarua yenu ina vitundu vinavyoruhusu nyuki kupita kwenda ndani kung'ata na hata kumuangamiza mtoto anayekua! Na hapa ni wengi waliopenya.