TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,510
- 11,271
ya kwamba uzuri wa mtu ni tabia yake pamoja na matendo yake na wala siyo muonekano wake. Amini amini nawaambia, kama mtu hana mvuto kwa nje, basi ana wakati mgumu sana kuweza kupata wasaa wa kuionesha tabia yake na matendo yake "mazuri"..
Happy Friday.
Mapendo.
TANMO
Happy Friday.
Mapendo.
TANMO