Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 892
People nahitaji msaada wenu. Kwa bahati mbaya sana tulifiwa na mama yetu muda mrefu sasa. Kabla ya hapo familia yetu ilikuwa ni ya watu wa kufanya kazi kwa bidii na kujituma. tulikuwa na miradi mingi sana and money was not an issue.
lakini sasa tangu kufariki kwa mama baba yetu hajataka kujishughulisha kwa kitu chochote kile miradi imeporomoka, na amebaki akilaumu watu wanamloga ndio maana hafanikiwi. kila kukicha safari kwa waganga haziishi sisi kama watoto tumejaribu sana kumuomba na kumsihi aachane na mambo hayo lakini ni kama tumechochea moto. yuko tayari hata kuleta hao waganga na wachawi wake nyumbani na anataka hata kutujumuisha na sisi kwenye hizo rituals. lakini tumekataa kabisa.
how can i make this stop for good, tunasali na tunaendelea kusali lakini mabadilko hayaonekani hali ndio inazidi kuwa mbaya. how cn we deal wit this Help Please
lakini sasa tangu kufariki kwa mama baba yetu hajataka kujishughulisha kwa kitu chochote kile miradi imeporomoka, na amebaki akilaumu watu wanamloga ndio maana hafanikiwi. kila kukicha safari kwa waganga haziishi sisi kama watoto tumejaribu sana kumuomba na kumsihi aachane na mambo hayo lakini ni kama tumechochea moto. yuko tayari hata kuleta hao waganga na wachawi wake nyumbani na anataka hata kutujumuisha na sisi kwenye hizo rituals. lakini tumekataa kabisa.
how can i make this stop for good, tunasali na tunaendelea kusali lakini mabadilko hayaonekani hali ndio inazidi kuwa mbaya. how cn we deal wit this Help Please