Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
najua unachoongea na sipingani nacho. ila ninachosema ni kwamba 95% ya watazania wameenda kwa mganga,au kuchanjwa. hiyo ni kama walichanjwa kwa kujikinga, kujitibu au kurogana.. so its either its good or bad.
Hao wanaofanya hivyo eti kwa ajili ya kujikinga na kufanyiwa vikorombwezo kibao...yes nakubaliana na wewe...huko ni kuamini uchawi 100%