95% ya watanzania,wameshawahi kwenda kwa mganga, au kuchanjwa.
Mjomba kwenda kwa mganga wa jadi au kuchanjwa haina maana wewe unabudu uchawi au kwamba yule mganga naye mchawi......kuna waganga wengine wa jadi wadawa nzuri sana zinasaidia sana...!
Pili kwa sehemu zile ambazo maduka ya madawa au hospital ni ndoto mtu akipata hitilafu ya kiungo cha mwili, one way ya kumsave humchaja na kumpaka dawa.....na huwa anapona vizuri kabisa!
Nini kimekufanya uwe naimani hii ndugu? nipe na mimi huenda nikaanza kuitumia kuwin life, lakini kumbuka hapa simaanishi waganga kama Issac Ndodi... wanaotumia machungwa, miwa, mchicha, mkwaju n.k kutibu nina maanisha washirikina wanotumia vitu kama viungo vya Albino, mifupa ya wafu,nywele za biadamu n.k!
MKuu naona umenisoma vibaya sana na ninaomba uniombe radhi tafadhali!
Mimi hata siku moja siamini mambo ya uchawi kabisa....naomba nieleweke....hayo mambo ya Albino, nywele etc to hell with them!
Nilichosema kwenye post yangu ni hivi, sio kila madawa ya kienyeji ya uhusiano na uchawi...upo? So ukiyatumia haya, haina maana unaabudu uchawi....mimi pia huyatumia sometimes!
Suala la kuchanjwa nimekwambia kwa sehemu ambazo hakuna hospital, au maduka ya madawa ya kisasa....mtu akipata hitilafu ya kiungo chochote hupewa madawa ya kienyeji kama their only option available....na pia kama ana uvimbe....au kateguka mguu etc huwa wanamchaja na kumpaka dawa ili iingie vizuri kwenye mfumo wa damu....na watu huwa wanapona...thats all! Hapa hakuna ushirikina bro!
Duh, sory mkuu unahaki ya kuhamaki. Nilidhani unatetea Ugagula wa kukuvunja nazi au yai njia panda na mauchawi mengine kibao! Hayo uliyo sema kweli hayana neno ndugu.
mbona una mambo ya kishirikina sana wewe. kama unataka kujua kuroga nenda tu mtaani ulizia njia ya mganga wa kienyeji au nenda kwa yahyaDuh, sory mkuu unahaki ya kuhamaki. Nilidhani unatetea Ugagula wa kukuvunja nazi au yai njia panda na mauchawi mengine kibao! Hayo uliyo sema kweli hayana neno ndugu.
Mjomba kwenda kwa mganga wa jadi au kuchanjwa haina maana wewe unaabudu uchawi au kwamba yule mganga naye mchawi......kuna waganga wengine wa jadi wadawa nzuri sana zinasaidia sana...!
Pili kwa sehemu zile ambazo maduka ya madawa au hospital ni ndoto mtu akipata hitilafu ya kiungo cha mwili, one way ya kumsave humchaja na kumpaka dawa.....na huwa anapona vizuri kabisa!
mbona una mambo ya kishirikina sana wewe. kama unataka kujua kuroga nenda tu mtaani ulizia njia ya mganga wa kienyeji au nenda kwa yahya
Hapa umenionea, haya bwana!
najua unachoongea na sipingani nacho. ila ninachosema ni kwamba 95% ya watazania wameenda kwa mganga,au kuchanjwa. hiyo ni kama walichanjwa kwa kujikinga, kujitibu au kurogana.. so its either its good or bad.
Aisee umenikumbusha jambo ambalo linanikera sana hapa njia panda ya mkulu; Urusino na Migombani Street
Kila weekend USiku [hasa ijumaa] kuna nazi zinavunjwa usiku kabla ya saa sita ukitoka kwenye starehe zako utakuta na jumamosi asubuhi magari yanakanyaga... Hii imeaza wiki chache zilizopita, sijui ni nini na ina maana hata walinzi hapo ikulu ndogo hawaoni wanaofanya mambo hayo??
INATIA SIMANZI SANA ILE HALI NA MANAZI
hapana mzee,sijakuonea hata kidogo. soma posts zako mwenyewe ulizomwandikia huyo jamaa Next Level. tena ukaomba kabisa akupe ujuzi sio wa uganga wa machungwa, bali wa viungo vya albino. be careful!thats the only advice i give to you.damu zitawalilia siku ya mwisho
ok.kumradhiHukunielewa tu mkurugenzi wangu, mbona Next Level kanielewa? Hebu soma tena ile post yangu ukiwa free kabisa bila kunichukulia kama mie Kigagula utanielewa Yessir.
Uchawi can only exist as a part of your fertile imagination put into practice(or malpractice for that matter).Hatupingi kama uchawi haupo ila ukiupa prominence katika maisha yako ni lazima utakuendesha .uchawi upo! sasa mnakataa nini? mimi nimeshaelimika,wakuelimika ni nyinyi.. a degree doesnt actually qualify you as an educated person,DO YOUR HOMEWORK