Imani ya Ushirikina na Maisha ya Mwananchi

Naomba thread hii iunganishwe na ile ya Sanda Matuta iliyopo kwenye Habari mchanganyiko na ihamishiwe kwenye Jukwaa la Siasa ili ipate a bigger audience. Hii ni kwa sababu hii ni imani inayotugusa jamii nzima na inabidi ikemewe kwa juhudi na nguvu zote. Kama mambo kama haya yanaweza kufanyika Dar es Salaam huko vijijini ni wangapi wameonewa, wamedhulumiwa na wengine hata kupoteza maisha yao kwa imani kama hizi? Wote tunajua ni wengi sana maana kila kukicha tunasikia hadithi za watu ( mara nyingi bibi vizee ambavyo bila shaka vimeanza kupata matatizo ya Alzheimer) wakishikwa ati wanga kwa sababu wamekutwa wakitembea bila kujisitiri usiku na magazeti yetu kushabikia bila mtu kuthubutu kuyapinga. Imani hii imejengeka sana hata kwa wale wanaojiita wasomi. Tabia hii inabidi ikome ili kila mmoja wetu katika jamii aweze kutendewa haki sawasawa na wengine.
 
Unajua watu huwa hawakurupuki tuu na kumtuhumu mtu! kunakuwa na sababu au tabia fulani ambazo huwa zinaonyeshwa na hao wanaotuhumiwa. Kabla ya kutoa hitimisho/hukumu ni vema 'background informations' zikaangaliwa ili kujua ni kwa nini yeye na si wengine!

Kwa bahati mbaya watu wanakurupuka. Ukichunguza vizuri ni wivu au ni mtu ambaye kwa sababu nyingine (hachanganyiki na wenzie, ni mkali mno, ana matatizo ya akili, ni mzee na anaishi peke yake n.k)kabisa hakubaliki katika jamii. Mara nyingi hizo zinazoitwa facts ni myths ambazo zinarudiwa hadi kuaminika na kila mtu. Kama ilivyosemwa na wengine, mara zote tunakataa kujiangalia na kujikosoa wenyewe kwa matatizo yetu na tunakimbilia kudai kuwa kuna mkono wa mno. Mafanikio yote kuanzia shule, biashara hata siasa hatukawii kudai kuwa jamaa ameyapatia mlingotini. Hatuwezi kufika kwa mwendo huu.
 
Hali ya ushirikina inaonyesha ishara kuwa kwenye jamii kuna matatizo mengi zaidi! Shinikizo mbalimbali katika jamii zinaleta hali ya watu kutafuta suluhisho au jawabu la matatizo yao kwa njia mbalimbali, nyingi ambazo si nzuri. Ni muhimu wana jamii kutafuta chanzo cha matatizo hayo na kuyatafiti kwa undani.

Mkuu Kitila,

Nimuhi kwa sisi kama wana jamii kuchungua kwenye hili,na tujue ukweli wa maswala haya.
Nadhani sio vibaya niki-share my experience hapa,

"Miaka mimi nyuma wakati niko mdogo huko kijijini kwetu,nyumbani kwetu aliletwa Mganga wa kienyeji,jamaa akatuchanja mwili mzima na kiwewe chake.
Mimi nilikua wamwisho na kwa kua nilikua mdogo sikuweza kuvumilia maumivu ya kiwembe kile nakumbuka kugoma sana mpaka wakanishika ili nichanjwe.Kwa sababu ya maumivu na kuona kama nimeonewa hayakunitoka kichwani mambo yale,siku mmoja nikiwa na Mzee peke yetu nilimuuliza HIVI NI KWANINI YULE JAMAA (Mganga) alituchanan chana na viwembe?
Jibu la MZEE lilikua lefu na maelezo mengi ila kwa kifupi aliniambia "ile ni dawa ya kujikinga na wachawi ambao walikuwapo pale kijiji" .
Mimi niliendeleza maswali mfululizo kwa mzeenikimuuliza mambo mengi kuhusu jibu lake mfano nakumbuka kuuliza,"Yeye anadhani nani au jilani yetu gani pale ni mchawi,na kwanini hwaonekani na maswali mengi ya kitoto?"
Aliishia kunia mbia "subiri ukikua utayaona na kujua"
Nina miaka Mingi sasa sijawahi kuona mchawi live ila nimesikia mengi na kusoma mengi juu ya Ulozi lakini sina proof yeyote mpaka sasa.Ila critical thinking na experience ya maisha kwenye nyanja nyingine tells kwamba "kunapo Fuka moshi,ujue kunawaka",

Jamii inazidi kuelemea na kulizungumza sana jambo hili kila siku na hivyo kupelekea kwamba huenda kuna ukweli fulani katika hili.Na nikazi yetu sisi kuja na mawazo furani ili kuweka swala hili bayana na sio KUKUBARI TU au KUKATAA kwamba hizi ni imani TU za kishilikina tu kwa sababu shule tumefunzwa hamana vitu hivyo.
Nimazo yangu sehemu fulani ya hili swala lazima kutakuwepo na ukweli wa mambo haya na kama michango ya wachangiaji wengine kwamba hata vitabu vya dini vime bainisha uwepo wa m,ambo haya sasa tukiendelea kukataa au kubari bila ya kua na misingi ya HOJA za kukataa ama kukubari hatujitendee haki sis na wale tuwaelezao haya.
 
Naomba thread hii iunganishwe na ile ya Sanda Matuta iliyopo kwenye Habari mchanganyiko na ihamishiwe kwenye Jukwaa la Siasa ili ipate a bigger audience. Hii ni kwa sababu hii ni imani inayotugusa jamii nzima na inabidi ikemewe kwa juhudi na nguvu zote. Kama mambo kama haya yanaweza kufanyika Dar es Salaam huko vijijini ni wangapi wameonewa, wamedhulumiwa na wengine hata kupoteza maisha yao kwa imani kama hizi? Wote tunajua ni wengi sana maana kila kukicha tunasikia hadithi za watu ( mara nyingi bibi vizee ambavyo bila shaka vimeanza kupata matatizo ya Alzheimer) wakishikwa ati wanga kwa sababu wamekutwa wakitembea bila kujisitiri usiku na magazeti yetu kushabikia bila mtu kuthubutu kuyapinga. Imani hii imejengeka sana hata kwa wale wanaojiita wasomi. Tabia hii inabidi ikome ili kila mmoja wetu katika jamii aweze kutendewa haki sawasawa na wengine.

MKUU INVISIBLE,
EMBU TUONGANISHIE HIZI THREAD NA ILE YA "mtoto auwa na kuchunwa ngozi"

ILI TUPATE MAWAZO ZAIDI
 
Kwa bahati mbaya watu wanakurupuka. Ukichunguza vizuri ni wivu au ni mtu ambaye kwa sababu nyingine (hachanganyiki na wenzie, ni mkali mno, ana matatizo ya akili, ni mzee na anaishi peke yake n.k)kabisa hakubaliki katika jamii. Mara nyingi hizo zinazoitwa facts ni myths ambazo zinarudiwa hadi kuaminika na kila mtu. Kama ilivyosemwa na wengine, mara zote tunakataa kujiangalia na kujikosoa wenyewe kwa matatizo yetu na tunakimbilia kudai kuwa kuna mkono wa mno. Mafanikio yote kuanzia shule, biashara hata siasa hatukawii kudai kuwa jamaa ameyapatia mlingotini. Hatuwezi kufika kwa mwendo huu.

Ni vema tukakubali na kuukabili uhalisia wa mambo ulivyo katika jamii yetu, lakini kusema ni 'myth' inatufanya tusione kina au ukubwa wa matatizo ulivyo.
Ni ukweli usiopingika uchawi upo na watu wanaroga kwa sababu mbalimbali. Tuna mifano mingi hadi kwa viongozi wetu (JK-MWANZA).Sina uhakika viongozi wao huwa wanatoa nini kama kafara! inawezekana ikawa ni lundo la raia wasio na hatia!

tunatakiwa kuangalia ni nini chanzo na nini kifanyike ili kuondoa hiyo hali, lakini kama tutaishia kusema ohh ni imani bla bla! ni sawa na kuvaa miwani ya mbao.
 
Jamani tusikatae hata kidogo kwamba uchawi hamna, uchawi upo na umeumiza wengi, Mashuleni watu wamekatizwa vipaji vyao kwa nguvu za giza, makazini watu wameletewa fitina, watu wamesababishiwa udhoofu wa afya kwa sababu ya uchawi. watu wamefarakanishwa na wapenzi wao kwa sababu ya uchawi.

Ni rahisi kwa wanasiasa kuukataa uchawi kwamba hamna ili kulinda harmony katika jamii, lakini ndani ya mioyo yao wanafahamu fika kwamba uchawi upo na ndo maana nao huenda kwa waganga ili kuganga/kuganguliwa.

Wanasema kama hayajakukuta basi huwezi kujua ukubwa wa tatizo.

cha msingi hapa siyo kukataa tatizo bali ni kuangalia namna gani ya kuliondoa tatizo,

Mimi naamini kabisa mojawapo ya matatizo yanayotufanya tusiendelee Afrika ni UCHAWI.

Njia moja yenye uhakika ya kupambana na uchawi ni Imani ya dhati Kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehma,kufanya sala na maombi kwa dhati ili Mwenyezi Mungu akulinde na vitimbi vya Wanga na wachawi.
mbele ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma uchawi unapuputika kama majani makavu kwenye upepo mkali.
 
Ni vema tukakubali na kuukabili uhalisia wa mambo ulivyo katika jamii yetu, lakini kusema ni 'myth' inatufanya tusione kina au ukubwa wa matatizo ulivyo.
Ni ukweli usiopingika uchawi upo na watu wanaroga kwa sababu mbalimbali. Tuna mifano mingi hadi kwa viongozi wetu (JK-MWANZA).Sina uhakika viongozi wao huwa wanatoa nini kama kafara! inawezekana ikawa ni lundo la raia wasio na hatia!

tunatakiwa kuangalia ni nini chanzo na nini kifanyike ili kuondoa hiyo hali, lakini kama tutaishia kusema ohh ni imani bla bla! ni sawa na kuvaa miwani ya mbao.

Mimi ninachokiita myth ni kile ambacho hakijathibitishwa. Ukiangalia mambo mengi tunayoita uchawi ni ya simulizi na hayana ushahidi wa dhati. Watu wanauawa kwa kuwekewa sumu lakini tunaamini kuwa wamelogwa. Timu zetu za michezo pamoja na kutanguliza ushirikina hazijawahi kupata mafanikio yeyote! Najua mtasema ati hao washindani wetu ni wachawi zaidi. Unaamini kweli timu yetu yeyote hapa inaweza kushinda timu ya premier league uingereza? Hao mabingwa wa ulozi wa Afrika magharibi mbona hawajawahi kushinda kombe la dunia? Ukiangalia sehemu nyingi ambazo zimetangiliza ushirikina zimekwama kimaendeleo. Wote tunazijua sehemu hizo. Kwa nini wasitumie ushirikina kuwaletea maendeleo? Kwa vile imani hii imejengeka katika jamii utakuta hata pale kwenye ushahidi kamili kwamba mtu ameugua maradhi ya kawaida (k.m. degedege kwa watoto) tunakimbilia kuwatuhumu watu kwa uchawi. Nakumbuka kuna wakati tuliambiwa kuna matatizo ya meno ya plastiki na watu wakakimbilia kuwanyofoa meno watoto wao! Tukiambiwa kuwa kuna mtoto amezaliwa ana meno saba, masikio saba na akatoa utabiri dunia itaangamia kama watu hawatafanya hili na lile kabla ya yeye mwenyewe kufa baada ya siku saba, mji mzima unaamini. Kamwe hatuulizi huyo mtoto kazaliwa wapi? Tunadaka na kujawa hofu na ukibisha unaambiwa uchawi upo. Siku saba zikipita bila jambo tunasahau kujiuliza kulikoni? Yote haya yametokea katika jamii yetu. Imani hizi za ushirikina zimechangia kwa kiasi kikubwa kuwahukumu wasio na hatia ili mradi tujiondoe wenyewe lawamani na kumtupia mwingine. Badala ya kufanya uchunguzi wa dhati kuwa nani alimfanyia unyama huu malaika Halima tunakimbilia kuliko kwepesi na kumhukumu mama wa watu bila ushahidi wowote isipokuwa imani za watu. Imani hizi ni lazima zipigwe vita kwa juhudi zote! Nakumbuka kuna wakati mtu mmoja maarufu sehemu za temeke alirudishiwa mke wake aliyefariki baada ya kuingia gharama kubwa kwa mtaalamu ambaye alimhakikishia kuwa bibie kipenzi amefanywa ndondocha. Ilikuja kujulikana kuwa yule marehemu aliyerudishwa alikuwa mama mmoja mkazi wa Arusha aliyechangamkia dili! Yeye na mtaalamu walihukumiwa kifungo. Na bado kuna watu humu ndani mkiambiwa mpenzi wenu amechukuliwa kimazingaombwe hata baada ya kumzika wenyewe mtaingia gharama kubwa kwanza kumrudi aliyewafanyia ubaya huo na kujaribu kumrudisha marehemu!
 
Mimi ninachokiita myth ni kile ambacho hakijathibitishwa. Ukiangalia mambo mengi tunayoita uchawi ni ya simulizi na hazina ushahidi wa dhati.

Fundi unaamini kuna uchawi?
 
Mambo ya kishirikina haya yameota mizizi katika jamii zisizoelimika(not cookbook knowledge); zisizostaarabika; na jamii ambazo watu wake hawajiamini...Ni mambo ya zama za mawe.

Ila nina swali fulani: Katika utawala(serikali) wa JK, ushirikina una nafasi gani? Maana ninayoyasikia ni vigumu kuyaamini.
 
Kwa kweli inasikitisha na inatia huruma sana kuona jamii ya Watanzania bado wapo nyuma katika mambo ya ushirikina,kama Tanzania ni ya kupigiwa mfano katika Nchi zenye amani na utulivu naona hiki ni kilemba cha ukoka.
Kila kunapokucha na siku nyengine kuanza utasikia habari za kusikitisha kutoka katika Nchi hii ya Tanzania.Jambo ambalo ni baya zaidi ni kuiona jamii ya mazeruzeru ikiwa ni jamii inayotokomezwa katika Tanzania ,sijui kama Raisi MH.Kikwete analijua hili ,Waziri Mkuu analijua hili ,vyombo na taasisi pamoja na vyama vya siasa sijui kama wanaliona hili.
Kusema kweli ni aibu kwa Tanzania na wa Tanzania wanaoishi nje huwaga hawana pa kuuficha uso kwa kadhia hii ya kuuliwa watu wa jamii ya mazeruzeru kwa kweli ni jambo la kusikitisha na lenye kutia huzuni hasa unaposikia wanaouliwa ni watoto wadogo kabisa.
Hivi serikali imewahi kupigia makelele na kuweka sheria kali za kulinda haki ya binadamu hawa ambao maaisha yao bila ya shaka yeyote kwa wakati huu tulio nao yapo mashakani na ni watu waliokuwamo katika hofu ya kuzimishwa maisha yao wakati wowote wasio ujua.
Usalama wa raia na mali zao upo wapi ,mauaji yanatokea kila siku lakini mauaji ya kuelekezwa kwa jamii moja tu si ya kibinadamu na inafaa yalaniwe kwa nguvu moja na waTanzania wote.
Naomba kuwasilisha hoja.
 
Kuna topic ambayo sijaona ikiongelewa hapa JF. Yet inaigusa sana jamii yetu katika maisha yao ya kila siku na katika imani tofauti na kuleta matokeo tofauti.

Tunasoma katika magazeti habari za Wachawi na Wanga kutunguliwa.

Kuna kipindi tulisoma katika magazeti kuwa Mchawi/Mganga mmoja aliataka kupunguza tatizo la usafiri na alitaka kuleta Technolojia ya Ungo kwa Watanzania ili wautumie kusafiri toka sehemu moja kwenda nyingine na pia kwenda kazini. Mpo hapo?

Sasa Wanataaluma, tuliongelee hili lisilo la kawaida, Uchawi ni nin? Upo? Utamjuaje Mchawi? Je si suala la kiimani na kisaikolojia tu? Je Uchawi una faida au hasara zozote n.k
 
Kuna topic ambayo sijaona ikiongelewa hapa JF. Yet inaigusa sana jamii yetu katika maisha yao ya kila siku na katika imani tofauti na kuleta matokeo tofauti.

Tunasoma katika magazeti habari za Wachawi na Wanga kutunguliwa.

Kuna kipindi tulisoma katika magazeti kuwa Mchawi/Mganga mmoja aliataka kupunguza tatizo la usafiri na alitaka kuleta Technolojia ya Ungo kwa Watanzania ili wautumie kusafiri toka sehemu moja kwenda nyingine na pia kwenda kazini. Mpo hapo?

Sasa Wanataaluma, tuliongelee hili lisilo la kawaida, Uchawi ni nin? Upo? Utamjuaje Mchawi? Je si suala la kiimani na kisaikolojia tu? Je Uchawi una faida au hasara zozote n.k
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=8025
 
Kuna kitabu kiliandikwa zamani na Father Mapunda kinathibitisha mambo ya uchawi kuwa yapo.

Hii ni Phd research ya mtu aliyewahi kuwa priest wa kanisa katoliki.


Na wenye kupenda mambo ya historia inaonyesha nchi za Ulaya zilifanya kazi kubwa za kuua wachawi na wengine walifanya kukimbilia Ulaya.

Hivyo suala la uchawi sio la zamani za kale hata katika nchi zilizoendelea.

Ukizoma utamaduni wa Aztec, Maya, Greek, Roman, Chinese, Indian kuna imani za kichawi.

Na hizi imani zinatokana na tabia ya binadamu kutafuta maelezo ya vitu vinavyomzunguka.

Miaka ya zamani ilikuwa kawaida kwa mvua za vuli na masika kunyesha kwa wakati uliopangiwa hivyo watu hawakuona sababu ya kutafuta sababu ya kujiuliza. Sasa hivi mvua zinakuja bila mategemeo au haziji kabisa. Kwa watu wa kawaida ni lazima watafute maelezo na haya yamefanyika kwa jamii zote.

Kwa wenzetu wenye uwezo wanaweza ku-nail down mvua haikuja kwa sababu za kisayansi. Na sisi tusio na uwezo tunaweza kusema Mungu katunyima mvua kutokana na madhambi tuliyofanya na wengine ambao wasio na imani za Mungu wanaweza kusema mizimwi ya mababu zao.

Hivyo elimu ya darasa la saba, kujua kusoma na kuandika hakuwafanyi watu kuacha imani zao. Kinachofanya ni rational explanation zenye kuambatana na matendo. Watu wasijifunze sayansi bali waweze kuitumia katika kukabiliana na matatizo yao ya kila siku.

Na katika kufundishana sayansi na matumizi yetu sisi ni wa mwisho. Na hivyo tusishangee watu kuchunana ngozi ili kupata faida katika biashara.
 
JAMANI HEBU NISAIDIEANI HII NI DEEN AU USHIRIKINA? HEBU SOMA HADITHI HIZI

Volume 1, Book 4, Number 215:
Narrated Ibn 'Abbas:

Once the Prophet, while passing through one of the grave-yards of Medina or Mecca heard the voices of two persons who were being tortured in their graves... The Prophet then added, "Yes! (they are being tortured for a major sin). Indeed, one of them never saved himself from being soiled with his urine... The Prophet then asked for a green leaf of a date-palm tree, broke it into two pieces and put one on each grave...


Volume 4, Book 54, Number 537:
Narrated Abu Huraira:

The Prophet said "If a house fly falls in the drink of anyone of you, he should dip it (in the drink), for one of its wings has a disease and the other has the cure for the disease."


Volume 1, Book 4, Number 146:

Narrated Abu Aiyub Al-Ansari:

Allah’s Apostle said, “If anyone of you goes to an open space for answering the call of nature he should neither face nor turn his back towards the Qibla; he should either face the east or the west.”


Volume 7, Book 72, Number 747:
Narrated Abu Huraira:

Allah's Apostle said, "If you want to put on your shoes, put on the right shoe first; and if you want to take them off, take the left one first. Let the right shoe be the first to be put on and the last to be taken off."


Volume 7, Book 65, Number 366:
Narrated Ibn 'Abbas:

The Prophet said, 'When you eat, do not wipe your hands till you have licked it, or had it licked by somebody else."
 
Kwanza tukurekebishe. Hadithi hii umeicopy wapi? Pili unapocopy pia ucopy na kitabu. Waislamu tuna vitabu vingi vya hadithi Mashallah. Wapokezi wa hadithi ni wengi. Na Quran tuliyonayo ni moja tu.

Once the Prophet, while passing through one of the grave-yards of Medina or Mecca heard the voices of two persons who were being tortured in their graves... The Prophet then added, "Yes! (they are being tortured for a major sin). Indeed, one of them never saved himself from being soiled with his urine... The Prophet then asked for a green leaf of a date-palm tree, broke it into two pieces and put one on each grave...

Ama Website ulipoichukua wamefanya kosa kubwa au wewe kwa chuki zako binafsi umefanya makosa hayo.

Hapa tunakuwekea hadithi kama ilivyotafsiriwa kwa lugha ya kiengereza kutoka katika kitabu cha Bukhari.

Narrated Ibn 'Abbas:

Once the Prophet, while passing through one of the grave-yards of Medina or Mecca heard the voices of two persons who were being tortured in their graves. The Prophet said, "These two persons are being tortured not for a major sin (to avoid)." The Prophet then added, "Yes! (they are being tortured for a major sin). Indeed, one of them never saved himself from being soiled with his urine while the other used to go about with calumnies (to make enmiy between friends). The Prophet then asked for a green leaf of a date-palm tree, broke it into two pieces and put one on each grave. On being asked why he had done so, he replied, "I hope that their torture might be lessened, till these get dried."


Sasa umeona upotoshaji wenu huo? hilo neno NOT mmeliondoa, kwani mnafikiri Biblia hiyo? Kuingiza na kutoa? Kisha angalia maneno yanayosema (they are being tortured for a major sin) yamewekwa katika brackets. Sasa sijui matatizo yenu yapo wapi.

Kuhusu suali lako katika thread tukusaidie. Hii ni dini ya haki inayotoka Mola mmoja wa haki Allah. Mola wa Issa, Ibrahim, Mussa, na Muhammad. Huu sio ushirikina bali ni adabu njema tuliyofunzwa na Mtume wetu (rehema na amani juu yake). Mimi nilifikiri wewe ni mkiristo unaesoma vitabu vilivyopita katika biblia. Kwani hukuyaona majamboz sijui kama utasema ni ushirikina au ufuska au what.
 
Narrated Anas bin Malik:

Two of the companions of the Prophet departed from him on a dark night and were led by two lights like lamps (going in front of them from Allah as a miracle) lighting the way in front of them, and when they parted, each of them was accompanied by one of these lights till he reached their (respective) houses.

Sahih Bukhar Volume 1, Book 8, Number 454
 
Kwanza tukurekebishe. Hadithi hii umeicopy wapi? Pili unapocopy pia ucopy na kitabu. Waislamu tuna vitabu vingi vya hadithi Mashallah. Wapokezi wa hadithi ni wengi. Na Quran tuliyonayo ni moja tu.



Ama Website ulipoichukua wamefanya kosa kubwa au wewe kwa chuki zako binafsi umefanya makosa hayo.

Hapa tunakuwekea hadithi kama ilivyotafsiriwa kwa lugha ya kiengereza kutoka katika kitabu cha Bukhari.

Narrated Ibn 'Abbas:

Once the Prophet, while passing through one of the grave-yards of Medina or Mecca heard the voices of two persons who were being tortured in their graves. The Prophet said, "These two persons are being tortured not for a major sin (to avoid)." The Prophet then added, "Yes! (they are being tortured for a major sin). Indeed, one of them never saved himself from being soiled with his urine while the other used to go about with calumnies (to make enmiy between friends). The Prophet then asked for a green leaf of a date-palm tree, broke it into two pieces and put one on each grave. On being asked why he had done so, he replied, "I hope that their torture might be lessened, till these get dried."


Sasa umeona upotoshaji wenu huo? hilo neno NOT mmeliondoa, kwani mnafikiri Biblia hiyo? Kuingiza na kutoa? Kisha angalia maneno yanayosema (they are being tortured for a major sin) yamewekwa katika brackets. Sasa sijui matatizo yenu yapo wapi.

Kuhusu suali lako katika thread tukusaidie. Hii ni dini ya haki inayotoka Mola mmoja wa haki Allah. Mola wa Issa, Ibrahim, Mussa, na Muhammad. Huu sio ushirikina bali ni adabu njema tuliyofunzwa na Mtume wetu (rehema na amani juu yake). Mimi nilifikiri wewe ni mkiristo unaesoma vitabu vilivyopita katika biblia. Kwani hukuyaona majamboz sijui kama utasema ni ushirikina au ufuska au what.
Wewe dugu umetoa kituko ukaweka kituko zaidi. Naona hiyo ya juu ilikuwa imempa heshima Muhammad, ila hiyo uliyoweka ndo imeonyesha ni mtu wa namna gani (mtu wa kubabaisha). Eti wanateseka si kwa dhambi kubwa, na tena wanateseka kwa dhambi kubwa! Hapo tushike lipi shehe?

Na ni nani alikuambia kuwa mateso yako pale? Mwili ni kwa ajili ya ardhi na ardhini unarudi. Roho ni pumzi ya Mungu na hiyo ndo hupeleka mahesabu ya kazi.

Hayo mengine ni mauza mauza tu!
 
Ndugu Pingiring'ombe, hawa ndugu zetu waliodanganywa na Waarabu wakawa wanaabudu na kuisujidia miungu yao (allah) wako hoi bin taaban sasa.

Waamue moja kukiri na kuamini kuwa YESU NI MUNGU na wabatizwe. Au wakiendelea kushupaza shingo basi WAJITOE MHANGA.
 
Back
Top Bottom