Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Ndugu msomaji,
Napenda kuuliza yafuatayo ili kuweza kujadiliana kuhusu haya mambo yanayo zingira jamii zetu.
--Je, unaamini nini kuhusu uchawi? Upo au haupo?
--Je,ulisha shuhudia mtu aliye logwa (rogwa) na kuamini kuwa amelogwa?
--Je, uchawi unapingana vipi na imani yako nyingeneyo kama unayo?
--Uchawi unachukuliwa vipi mbele ya vyombo vya sheria?
--Je, mazingaombwe ni aina ya uchawi?...majini nayo?
Ahsanteni.
SteveD.
Napenda kuuliza yafuatayo ili kuweza kujadiliana kuhusu haya mambo yanayo zingira jamii zetu.
--Je, unaamini nini kuhusu uchawi? Upo au haupo?
--Je,ulisha shuhudia mtu aliye logwa (rogwa) na kuamini kuwa amelogwa?
--Je, uchawi unapingana vipi na imani yako nyingeneyo kama unayo?
--Uchawi unachukuliwa vipi mbele ya vyombo vya sheria?
--Je, mazingaombwe ni aina ya uchawi?...majini nayo?
Ahsanteni.
SteveD.
Last edited by a moderator: