Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Jambazi mmoja aliingia kanisani akiwa na bunduki mkonon,akasema,''haya wanaosema wanampenda yesu wabaki humu wasiompenda watoke nje,ndani akabaki mchungaji na wazee.''jambazi akamgeukia mchungaji akamwambia,''mtumishi,unaweza kuendelea na ibada,me nlitaka kukuondolea wanafiki tu.