Imamu na maamuma

Globu

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
8,567
2,063
Siku moja Imamu kawaambia watu msikitini. Anaeteswa na mkewe kati yenu asimame. Wote wakasimama, isipokuwa mmoja tu kabaki amekaa. IMAMU akamwambia MAASHALLAH Wewe huteswi na mkeo, Yule mtu akajibu 'KANIVUNJA MIGUU SIWEZI HATA KUSIMAMA'.
 
Back
Top Bottom