Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Wadau,
Nimekuwa nikifikiria sana kuhusu suala hili. Je, ingekuwaje endapo Mwenyezi Mungu angetoa fursa ya kila mwanaume kujiumbia mwanamke ambaye hatimaye atamwoa ingekuwaje? Ungepewa wewe fursa hiyo ungeumba mwanamke mwenye appearance au mwonekano au umbile gani? Nauliza appearance kwa sababu najua kwa upande wa tabia kila mtu atasema mwenye tabia njema na mwenye heshima na bidii ya kazi, n.k.
Nimekuwa nikifikiria sana kuhusu suala hili. Je, ingekuwaje endapo Mwenyezi Mungu angetoa fursa ya kila mwanaume kujiumbia mwanamke ambaye hatimaye atamwoa ingekuwaje? Ungepewa wewe fursa hiyo ungeumba mwanamke mwenye appearance au mwonekano au umbile gani? Nauliza appearance kwa sababu najua kwa upande wa tabia kila mtu atasema mwenye tabia njema na mwenye heshima na bidii ya kazi, n.k.