N ngwesa Member Jan 27, 2012 24 1 Jan 27, 2012 #1 Amani na upendo wana jf wote, ni mgeni wenu ktk ulimwengu wa jf. Naombeni mnipokee
Crashwise JF-Expert Member Oct 23, 2007 22,227 8,735 Jan 27, 2012 #2 naomba unifundishe kiingereza...
Gurta JF-Expert Member Sep 17, 2010 2,234 531 Jan 27, 2012 #3 I am saying hello to JF Karibu na usisahau kupitia Rules zetu. Huku, tofauti na FB, tuna taratibu na sheria na adhabu pia
I am saying hello to JF Karibu na usisahau kupitia Rules zetu. Huku, tofauti na FB, tuna taratibu na sheria na adhabu pia
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,442 25,584 Jan 27, 2012 #4 karibu sana ila uusivunje sheria mkuu.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Jan 30, 2012 #8 Karibu sana. Jitahidi mada nyingi uandike kiswahili, wengine kidhungu cha ndani kama hiyo heading yako hatuelewi.
Karibu sana. Jitahidi mada nyingi uandike kiswahili, wengine kidhungu cha ndani kama hiyo heading yako hatuelewi.
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Jan 30, 2012 #10 King'asti said: Karibu sana. Jitahidi mada nyingi uandike kiswahili, wengine kidhungu cha ndani kama hiyo heading yako hatuelewi. Click to expand... Yap Lugha ya Taifa
King'asti said: Karibu sana. Jitahidi mada nyingi uandike kiswahili, wengine kidhungu cha ndani kama hiyo heading yako hatuelewi. Click to expand... Yap Lugha ya Taifa
Mzizi wa Mbuyu JF-Expert Member May 15, 2009 7,323 6,810 Jan 30, 2012 #11 ngwesa said: Amani na upendo wana jf wote, ni mgeni wenu ktk ulimwengu wa jf. Naombeni mnipokee Click to expand... I' am say welcome! Kuwa mwangalifu na matumizi ya kiingereza bro!
ngwesa said: Amani na upendo wana jf wote, ni mgeni wenu ktk ulimwengu wa jf. Naombeni mnipokee Click to expand... I' am say welcome! Kuwa mwangalifu na matumizi ya kiingereza bro!