Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,767
mith yu tuu beibe nasty ... nko hapa nasubilia umbwage mtu live nishike usukani mimi
Last edited by a moderator:
Hey young masterMie iko miss sana wewe beibe nasty
mith yu tuu beibe nasty ... nko hapa nasubilia umbwage mtu live nishike usukani mimi
Ya kawaida saana coz keshayazoewa soooo halisumbui hata chembe subiri aje aseme kwa mdomo wake mwenyewe usiwe kipikipik posta
Beibe sorry sikuwa online for some hrs!
I'm still with you for cherish and trouble.
Be lyk Mbayuwayu mix with yours.
Kitu yako iko kama ulivyoiacha, wengi wameikodolea mimacho koddo! Wengine tumbu! Wameiona paa! Nimeiprotect FUNGUO , na wewe protect KITASA.
mith yu tuu beibe nasty ... nko hapa nasubilia umbwage mtu live nishike usukani mimi
mith yu tuu beibe nasty ... nko hapa nasubilia umbwage mtu live nishike usukani mimi
Beibe sorry sikuwa online for some hrs!
I'm still with you for cherish and trouble.
Be lyk Mbayuwayu mix with yours.
Kitu yako iko kama ulivyoiacha, wengi wameikodolea mimacho koddo! Wengine tumbu! Wameiona paa! Nimeiprotect FUNGUO , na wewe protect KITASA.
acha hizo banah kwani umezaliwa nae huyo, watu wanawakana hadi wazazi wao..Naanzaje mbwaga wauban miee
Mithili ya majnuni mmoja alie ambiwa ili aozeshwe mke, basi apeleke mahari ya mwezi (moon) akawa anausubiri udondoke!
Pole weee!
Baki na riwaya ya Shaaban Robert (Kusadikika)
we subiri utasimuliwa tu mda si mrefu.. huo mwezi ndo utashuka uushuhudieMithili ya majnuni mmoja alie ambiwa ili aozeshwe mke, basi apeleke mahari ya mwezi (moon) akawa anausubiri udondoke!
Pole weee!
Baki na riwaya ya Shaaban Robert (Kusadikika)
acha hizo banah kwani umezaliwa nae huyo, watu wanawakana hadi wazazi wao..
Hilo sio tatizoo hata hun kitasa kipo kama ulivoondoka
Wavimbamacho
wapulizamoto
washikapembe
wachawi
wanga
washakunaku
washan'kupe
washongorokwinyo
Wajijuao wa Jeiefu someni hapo juu, Nasty afungukavyo.
ishia hapo hapo. vinginevyo namwambia kwanini mligomba na mtu furani humu kuhusu C.lady. unaona tumenyamaza tumekusitiri usituite mashakunaku babu we!..na nakuomba utulie kama maji mtungini. Unafikiri hatujui michezo yako?. Mia