Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
1)BBC SWAHILI: waumini wa dini ya Kiislam wa Zanzibara wametayanywa na askari polisi walipokuwa wakiwaombea dua waliofariki
2)Idhaa ya kiswahili ujerumani. Polisi watumia nguvu kuwatanya waislam waliokuwa wakiomba dua.
3)Idhaa ya Kiswahili VOA: Polisi wazuia dua iliokuwa inasomwa na waumini wa Kiislam
4)Zenj FM leo asubuhi. Waislam watawanywa wakiomba Dua kwa ajili ya waliofikwa na msiba
5)Chuchu FM- Waislam waliokuwa wakiomba dua wametawanywa msikiti wa Mbuyuni
6)Sauti ya Tanzania Zanzibar(Sauti ya Serekali) Askari watumia mabomo ya Machozi kutawanya waumini wa kiislam
MAGAZETI:
Zanzibarleo- gazeti la serekali ya SMZ. hawakuipa kipaumbele habari hii
MAGAZETI PROPAGANDA YA TANZANIA BARA
1)Nipashe. hawa jamaa bado wanauchngu na makanisa yao- Habari imekaa kishabiki na kidini zaidi. Ukisoma tu utagundua muahriri kayaingiza maandishi yake.
HII NI AIBU KWA TASNIA YA HABARI KUKAA ZAIDI YA KIDINI BADALA YA UTAIFA
2)Idhaa ya kiswahili ujerumani. Polisi watumia nguvu kuwatanya waislam waliokuwa wakiomba dua.
3)Idhaa ya Kiswahili VOA: Polisi wazuia dua iliokuwa inasomwa na waumini wa Kiislam
4)Zenj FM leo asubuhi. Waislam watawanywa wakiomba Dua kwa ajili ya waliofikwa na msiba
5)Chuchu FM- Waislam waliokuwa wakiomba dua wametawanywa msikiti wa Mbuyuni
6)Sauti ya Tanzania Zanzibar(Sauti ya Serekali) Askari watumia mabomo ya Machozi kutawanya waumini wa kiislam
MAGAZETI:
Zanzibarleo- gazeti la serekali ya SMZ. hawakuipa kipaumbele habari hii
MAGAZETI PROPAGANDA YA TANZANIA BARA
1)Nipashe. hawa jamaa bado wanauchngu na makanisa yao- Habari imekaa kishabiki na kidini zaidi. Ukisoma tu utagundua muahriri kayaingiza maandishi yake.
HII NI AIBU KWA TASNIA YA HABARI KUKAA ZAIDI YA KIDINI BADALA YA UTAIFA