Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,546
- 19,411
Niko mbele ya luninga naangalia mashindano ya Miss Universe. Nimeona kuwa Tanzania imewakikilishwa na binti mmoja anaitwa Iluminata lakini hakifika popote. Kwa nini? Anaonekana kuwa na sura nzuri, lakini sidhani kama ni mrefu wa kutosha. Nadhani kuwa Tanzania huwa tunasahau sana element hii ya urefu katika mashindano haya.