Illuminati or Perfectibilists in Tanzania

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Conspiracy theorists believe there's an elite group of powerful peoples who controls the world. Illuminati People are freethinkers, with Enlightenment, and intelligent. Do we have these Illuminati in Tanzania? People who controls everything, predict our future etc....and who are the members ? or Illuminati elite do not exist in Bongoland?

Masa
 
Katika fuatilia yangu sijaona sehemu Fabian society inahusishwa na Illuminati wala Freemasons;Pia sikumbuki lini Nyerere alikuwa na mahusiano na Fabians
 
Katika fuatilia yangu sijaona sehemu Fabian society inahusishwa na Illuminati wala Freemasons;Pia sikumbuki lini Nyerere alikuwa na mahusiano na Fabians

Ukishangaa ya Musa,.. utaona ya Firauni!!!!! Hawa ni watu ambao kila wakati wanamtwisha Mwalimu kila aina ya upuuzi! ambao hata haumhusu!
Sijajua lengo lao hasa ninini, lakini wengine ni kujitafutia umaarufu kwa kuonekana wanachambua tu mwenye upeo mkubwa.
 
Nyerere was trained by the Fabian Society to be illuminati number one.

ondoa upuuzi wako wewe. Nyerere was never a freemansons. Na kuna watu wanaamini sana kuwa ndiyo maana hii nchi iliminywa sana, maana WB supports countries whose leaders are freemasonry, na if you do not become one of them they may take you out of power (among others na kama una natura resources) kama yanayotokea kwa gbagbo au gaddafi.

You need to dig about these secret society, who and how they take control of states, what they own kabla ya kuja na silly accusation zako hapa.
 
halo utingo wala usiumize kichwa, msafara wa mamba kenge hawakosi.some
are gifted talking nonsense coz they are talking b4 thinking
 
Nyerere was trained by the Fabian Society to be illuminati number one.
The Fabian Society was a left leaning ideological society aligned to the British Labour Party. It was not a secretive society like Illuminati or Freemasons.
 
Conspiracy theorists believe there's an elite group of powerful peoples who controls the world. Illuminati People are freethinkers, with Enlightenment, and intelligent. Do we have these Illuminati in Tanzania? People who controls everything, predict our future etc....and who are the members ? or Illuminati elite do not exist in Bongoland?

Masa

The only being which can control everything at the same time, and which knows what the future holds for you is GOD, any being or thing than this is the counterfit. The conspiracy theorists and whoever they are, and who have been there in the history, are nobody else but mind freaks who try to dictate the way we should live, conduct ourselves and the list goes on,,,,,. So my friend watch out whilst you want to fall into their trap of dependence on what you should do according to what they want.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom