Imenikumbusha movie flani hivi.
Kwenye sehemu ya movie hiyi,kulikua na watu wanawinda. Sasa wakawa wanasakwa. Wamekaribia kukamatwa,ili kujiokoa wakaongia tumboni mwa tembo mwanamama!
Wakiwa huko tumboni,tembo dume likaja kumpanda lile jike. Ule mshipa wa huyo tembo ni hatari. Nilipocheka zaidi ni pale alipokuwa anamwaga,hahahha! Alimmwagia jamaa kama lita mbili hivi za genye.
Anapumua kweli huko ndani
Huyu jamaa hii kazi kaisomea mpaka Chuo Kikuu.
Yawezekana... na malipo yake yatakuwa si ya kitoto....
Imenikumbusha movie flani hivi.
Kwenye sehemu ya movie hiyi,kulikua na watu wanawinda. Sasa wakawa wanasakwa. Wamekaribia kukamatwa,ili kujiokoa wakaongia tumboni mwa tembo mwanamama!
Wakiwa huko tumboni,tembo dume likaja kumpanda lile jike. Ule mshipa wa huyo tembo ni hatari. Nilipocheka zaidi ni pale alipokuwa anamwaga,hahahha! Alimmwagia jamaa kama lita mbili hivi za genye.
YakikubwaYawezekana... na malipo yake yatakuwa si ya kitoto....