trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Mie bachela huwa nalala katikati, mwanzoni, mwishoni, pembeni, mbele au nyuma nalala tu wala sijipi shida...
kuna chembechembe ya uongo hapo juu...
Mara nyingi lazima kunakuwa na pozi la kupumzikia... Na ukilinadilisha,hata usingizi kuupata inakuwa ishu!
Tuwe wakweli..