Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
...nadhani sasa ktk mauhusiano ya kimapenzi imefika mahala tuongeza hiki kifaa kinachoitwa Helment ili kujikinga na mathala makubwa yanayoweza kutokea ktk mikwaluzano ya kimapenzi...KAMA KWELI UNAMPENDA UTAMLINDA KWA KONDOM NA UTAJIKINGA KWA HELMENT....