Ndevu mbili
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 379
- 40
JF up!
Nakumbuka ndio nlikua namaliza masomo nchini Amerka....nkitoka nafanya shopping za nguo na viatu navituma kwa ndugu zangu kila walipo!
Siku moja mizigo ikazuiliwa..baadae ilichiwa.
Ndugu zangu walio bongo ilikua nikunitumia mibarua ya shukran nyingi...sijui ilikuaje huko walipokua wakiipokea hyo misaada!
Nakumbuka ndio nlikua namaliza masomo nchini Amerka....nkitoka nafanya shopping za nguo na viatu navituma kwa ndugu zangu kila walipo!
Siku moja mizigo ikazuiliwa..baadae ilichiwa.
Ndugu zangu walio bongo ilikua nikunitumia mibarua ya shukran nyingi...sijui ilikuaje huko walipokua wakiipokea hyo misaada!