Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Huyu Ndiye Nyerere akiwa nje ya ofisi yake kama Rais Ikulu, lakini makazi yake hayakuwa hapo, ila kuleeee Msasani. Alibuni Ikulu ya Chamwino Dodoma, lakini waliomfuata Dar kumewanogea, na kuishi ndani ya gengo hilo ni fahari kwao.