Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Katika historia ya dunia hakuna kokote ambako utulivu ulileta maendeleo
watanzania tunapaswa kuepuka kujengewa fikra kwamba,utulivu,ubwege ni tunu,kuwa ukondoo wa kuinamisha kichwa na kukubali kila kitu bila kuhoji,ni sifa,utulivu si hulka ya binadamu.Kama babu zetu wangekuwa watulivu leo bado tungekuwa tunaishi porini,na kusingekuwa na mabadiliko yoyote
tunahitaji uchochezi zaidi...
Nawasilisha
watanzania tunapaswa kuepuka kujengewa fikra kwamba,utulivu,ubwege ni tunu,kuwa ukondoo wa kuinamisha kichwa na kukubali kila kitu bila kuhoji,ni sifa,utulivu si hulka ya binadamu.Kama babu zetu wangekuwa watulivu leo bado tungekuwa tunaishi porini,na kusingekuwa na mabadiliko yoyote
tunahitaji uchochezi zaidi...
Nawasilisha