Baba wa Taifa Mwalimu J.K.Nyerere alianzisha msemo kuwa ili Tanzania iendelee twahitaji ARDHI,WATU,SIASA SAFI na UONGOZI BORA.Vitu vyote hivi vipo hadi leo lakini Tanzania iko nyuma kimaendeleo.Kinachochangia nionyesha kidogo kama ifuatavyo:-
1. ARDHI - ipo lakini haitumiki ipasavyo kwa kilimo na uwekezaji kwa manufaa ya Wananchi wote.
2. WATU - wapo lakini hawapatiwi elimu inavyopaswa ili wawe wazalishaji.
3. SIASA SAFI - Siasa iliyopo si ya kidemokrasia kutokana na ubovu wa Katiba.
4. UONGOZI BORA - Viongozi waliopo wanatumia Katiba ya viraka kuongoza hivyo hujifanyia watakavyo bila kuwepo nguvu ya kisheria ya kuwawajibisha.
Hivyo ili Tanzania iendelee inahitaji pia na uchumi imara ili iache kujipendekeza kwa nchi tajiri.
1. ARDHI - ipo lakini haitumiki ipasavyo kwa kilimo na uwekezaji kwa manufaa ya Wananchi wote.
2. WATU - wapo lakini hawapatiwi elimu inavyopaswa ili wawe wazalishaji.
3. SIASA SAFI - Siasa iliyopo si ya kidemokrasia kutokana na ubovu wa Katiba.
4. UONGOZI BORA - Viongozi waliopo wanatumia Katiba ya viraka kuongoza hivyo hujifanyia watakavyo bila kuwepo nguvu ya kisheria ya kuwawajibisha.
Hivyo ili Tanzania iendelee inahitaji pia na uchumi imara ili iache kujipendekeza kwa nchi tajiri.